mtoa mada hajafcha kitu bali naye pia ashangazwa kulikoni kwa "salary" mbona hakui wakati maswahiba wake wamekuwa "taller" mara mbili .... wakati yeye hajawahi hata kuwa "tall"
Ungejua mtoto salary na mtoto maendeleo wamedumaa kwa sababu wanalelewa na baba na mama wa kambo usinge jisumbua kuuliza
Baba pombe
Mama chama cha magamba
Ungejua mtoto salary na mtoto maendeleo wamedumaa kwa sababu wanalelewa na baba na mama wa kambo usinge jisumbua kuuliza
Baba pombe
Mama chama cha magamba