SALAMU ZA SHUKURANI

SALAMU ZA SHUKURANI

Angyelile99

Member
Joined
Oct 9, 2023
Posts
94
Reaction score
171
kwanza nianze kwa kuipongeza taasisi ya JamiiForums kwa kua moja ya njia ya utoaji na ufikishaji wa taarifa mbalimbali kwa jamii na taifa kwa ujumla. Lakini pia napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wana JamiiForums wote kwa kua sehemu ya ufanikishaji wa zoezi hili la uhitimishwaji wa shindano la stories of change kwa mwaka 2024. Nikiwa kama mshindi wa 5 kati ya washindi 10 walio patikana, (Angyelile99) sikuweza kufika katika hafla hiyoo hapo Jana, lakini natumaini jambo lilikwenda sawa sawia
 
kwanza nianze kwa kulipongeza shirika ama taasisi ya jamii forums kwa kua moja ya njia ya utoaji na ufikishaji wa taalifa mbali mbali kwa jamii na taifa kwa ujumla. Rakini pia napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanajamii forums wote kwa kua sehemu ya ufanikishaji wa zoezi hili la uitimishwaji wa shindano la stories of change kwa mwaka 2024. Nikiwa kama mshindi wa 5 kati ya washindi 10 walio patikana, (Angyelile99) hapo sikuweza kufika katika hafra hiyoo hapo Jana, rakini natumaini jambo lilikwenda sawa sawia
Poapoa. Wanyaki na R zetu..!!
 
hahahah. apana umeandika na alie shindwa. kilicho andikwa ndani kilikua na jambo kubwa mno kuliko namna kazi ilivyo kua imepangiliwa. ndo mana nikaibuka kua sehemu ya washindi
Apana ❎
Hapana ✅

ndo mana❎
ndio maana✅

Hongera kwa kuibuka mshindi.
 
Back
Top Bottom