SALAMU TOKA MABWEPANDE.
Kwa wale wote mnaokumbuka yaliotukuta miezi kazaa iliyopita huku mitaa ya JANGWANI nafahamu mtakua mna fahamu mkasa nlio uandika kuhusu yaliyo nikuta na familia yangu.
LEO napenda kuwasalimu toka makao mapya tuliyozawadiwa na SERIKALI YETU TUKUFU. Kwenye makala yangu iliyokuwa na kichwa cha SIDHANI KAMA BADO NAIPENDA NCHI YANGU, nilitoa masikitiko yangu ya kupotelewa na mke wangu pamoja na mali zangu zote na kuwa kwenye mazingira ya nusu kifo bila msaada wowote. Napenda kutoa shukrani zangu kwa ndugu na jamaa wote mliojitokeza kunisaidia kwa hali na mali pamoja na serikali YA NCHI hii ambayo SIDHANI KAMA NAIPENDA TENA.
MWENZENU KWA SASA NIKO MABWEPANDE, NAISHI KWENYE HEMA LA FUTI NANE MIMI PAMOJA NA WATOTO, TUNATUMIA VYOO VYA MUDA AMBAVYO KWA SASA VIPO KWENYE HALI ISIYORIDHISHA KWANI VIMESHA JAA. Na andika haya sio kujidhalilisha kwa kuwaonesha umasikini ulio nikumba la hasha, ila natamani mtafakari pamoja nami kuhusu ukuu wa MUNGU KWANGU NA KWENU PIA.
HEBU TAFAKARI.
1. UMEMPANINI MUNGU WEWE ULALAYE KWENYE CHUMBA SAFI , MAZINGIRA MAZURI YENYE PRIVACY YA KUTOSHA.
2. JE! ULIMPANINI MUNGU HATA AMEKUWEKA MPAKA LEO UKIWA NA AFYA NA MATUMAINI YA MAISHA BORA.
3. NAKUMBUKA NAMI NILIKUA NA LONG TERM AND SHORT TERM VISIONS AMBAZO KWA SASA KIDOGO ZIMEYUMBA NA KUFIFIA LAKINI WEWE BADO ZAKO ZINACHANUA.
WAPENDWA NAISHI MABWEPANDE AMBAKO KWANGU NDIO MAISHA YANA ANZA MOJA.
NA TUMEAMBIWA TUANZE UJENZI KWA KUA MAHEMA NI YA MUDA MFUPI , NIPO NAJIULIZA UJENZI HUO NA UANZIA WAPI ILHALI SINA KITU NA HUKU WANANGU WAPENDWA WANATAKA KUSOMA, KULA , KUVAA NA MAHITAJI MBALIMBALI.
MIMI SITAKI KUMUULIZA MUNGU KWANINI ALIYARUHUSU HAYA YANIKUTE NA KUNISONONESHA KIASI HIKI.. ILA NATAMANI UJIULIZE WEWE AMBAYE NI MTARAJIWA.
HUWEZI JUA NINI LITATOKEA,...
KAMA SIO POWER PLANT YA UBUNGO KULIPUKA BASI MAGOROFA MAREFU YA UDSM AU PENGINE POPOTE YAWEZA KUANGUKA. SI HAYO TU TUNA MADARAJA YALIYOJENGWA KWA UZEMBE MANGAPI?, MIOTO INAYOWAKA BILA SABABU MINGAPI??, MVUA NA MAFURIKO, RADI ZA MASIKA NA MICHAFUKO YA BAHARI. YOTE HAYO NI MAMBO YA KUMUOMBA MUNGU ATUNUSURU NA SERIKALI YA NCHI HII KUYAFANYIA KAZI YALE YALIYO CHINI YA UWEZO WAO
POLENI SANA NDUGU ZANGU MLIOKUMBWA NA ADHA YA MGOMO WA MADAKTRI.
MIMI NAWASALIMU.
Kwa wale wote mnaokumbuka yaliotukuta miezi kazaa iliyopita huku mitaa ya JANGWANI nafahamu mtakua mna fahamu mkasa nlio uandika kuhusu yaliyo nikuta na familia yangu.
LEO napenda kuwasalimu toka makao mapya tuliyozawadiwa na SERIKALI YETU TUKUFU. Kwenye makala yangu iliyokuwa na kichwa cha SIDHANI KAMA BADO NAIPENDA NCHI YANGU, nilitoa masikitiko yangu ya kupotelewa na mke wangu pamoja na mali zangu zote na kuwa kwenye mazingira ya nusu kifo bila msaada wowote. Napenda kutoa shukrani zangu kwa ndugu na jamaa wote mliojitokeza kunisaidia kwa hali na mali pamoja na serikali YA NCHI hii ambayo SIDHANI KAMA NAIPENDA TENA.
MWENZENU KWA SASA NIKO MABWEPANDE, NAISHI KWENYE HEMA LA FUTI NANE MIMI PAMOJA NA WATOTO, TUNATUMIA VYOO VYA MUDA AMBAVYO KWA SASA VIPO KWENYE HALI ISIYORIDHISHA KWANI VIMESHA JAA. Na andika haya sio kujidhalilisha kwa kuwaonesha umasikini ulio nikumba la hasha, ila natamani mtafakari pamoja nami kuhusu ukuu wa MUNGU KWANGU NA KWENU PIA.
HEBU TAFAKARI.
1. UMEMPANINI MUNGU WEWE ULALAYE KWENYE CHUMBA SAFI , MAZINGIRA MAZURI YENYE PRIVACY YA KUTOSHA.
2. JE! ULIMPANINI MUNGU HATA AMEKUWEKA MPAKA LEO UKIWA NA AFYA NA MATUMAINI YA MAISHA BORA.
3. NAKUMBUKA NAMI NILIKUA NA LONG TERM AND SHORT TERM VISIONS AMBAZO KWA SASA KIDOGO ZIMEYUMBA NA KUFIFIA LAKINI WEWE BADO ZAKO ZINACHANUA.
WAPENDWA NAISHI MABWEPANDE AMBAKO KWANGU NDIO MAISHA YANA ANZA MOJA.
NA TUMEAMBIWA TUANZE UJENZI KWA KUA MAHEMA NI YA MUDA MFUPI , NIPO NAJIULIZA UJENZI HUO NA UANZIA WAPI ILHALI SINA KITU NA HUKU WANANGU WAPENDWA WANATAKA KUSOMA, KULA , KUVAA NA MAHITAJI MBALIMBALI.
MIMI SITAKI KUMUULIZA MUNGU KWANINI ALIYARUHUSU HAYA YANIKUTE NA KUNISONONESHA KIASI HIKI.. ILA NATAMANI UJIULIZE WEWE AMBAYE NI MTARAJIWA.
HUWEZI JUA NINI LITATOKEA,...
KAMA SIO POWER PLANT YA UBUNGO KULIPUKA BASI MAGOROFA MAREFU YA UDSM AU PENGINE POPOTE YAWEZA KUANGUKA. SI HAYO TU TUNA MADARAJA YALIYOJENGWA KWA UZEMBE MANGAPI?, MIOTO INAYOWAKA BILA SABABU MINGAPI??, MVUA NA MAFURIKO, RADI ZA MASIKA NA MICHAFUKO YA BAHARI. YOTE HAYO NI MAMBO YA KUMUOMBA MUNGU ATUNUSURU NA SERIKALI YA NCHI HII KUYAFANYIA KAZI YALE YALIYO CHINI YA UWEZO WAO
POLENI SANA NDUGU ZANGU MLIOKUMBWA NA ADHA YA MGOMO WA MADAKTRI.
MIMI NAWASALIMU.