Nasikia karibia uende alipo baba wa taifa,ukifika mpe barua hii:-
Dear Nyerere, tangu ufe mlima Kilimanjaro uko Kenya, ziwa Nyasa liko Malawi, Tanzanite iko Kenya, Tanesco ni ya Lowassa, Shekh Ponda ni IGP, na pia rais anaish Airport.na pia wanasema tanzania imetokana na visiwa vya pemba na zimbabwe ha ha