karibu tena ingia, si kwa tabu ni raha tu Ulizozoweya,
ni kwa irabu na konsonanti ndo tutaongeya,
si ndimi au fimbo za kuchapiya,
utamuwe si wa kuhisabiya na hamuye hitokwishiya,
karibu kaka, karibu mdogo, karibu muungwana,
karibu na hapo ndo pa kuanziya,
we ingiya ,ingiya, uwe mmoja wa kondooo! ingiya uweze jioneya,
ingiya uje tusaidiya, ingiya uje kuchangiya.
KARIBIA EWE MTANZANIA........... JONGEA UJE TUSIMULIA.........:drum: