Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Ee Mungu, mweza wa yote, muumba wa mbingu na nchi. Najinyenyekeza mbele zako kwani najua we ni mkuu haufananishwi na chochote.
Naomba uifanye kura yangu sawa na kaa la moto kwa wale watakaotaka kuiba kura yangu.
Wapofushe, wachanganyikiwe; walaaniwe (Kumbukumbu 27:17)
Uzao wao ulaaniwe, wawe mazezeta.
Mungu unilindie kura yangu.
Naomba uifanye kura yangu sawa na kaa la moto kwa wale watakaotaka kuiba kura yangu.
Wapofushe, wachanganyikiwe; walaaniwe (Kumbukumbu 27:17)
Uzao wao ulaaniwe, wawe mazezeta.
Mungu unilindie kura yangu.