Sala ya kuiombea Tanzania dini zote

Sala ya kuiombea Tanzania dini zote

Status
Not open for further replies.
katiba izingatiwe kwa wenye mamlaka ya nchi,la sivyo mauaji yataendelea kutokea.naomba niwakumbushe nchi haina dini ila watu wake ndio wenye dini tusichanganye dini kwenye masuala ya nchi
 
jf na tz kwaujumla
Shirikianeni na watu wote,jamaa na dini zote za ulimwengu kwa ukweli halisi, unyofu,uaminifu,upole,ukarimu na urafiki
 
Mkuu nikisema sikosa lako kwasabau hatadini huijui walioifikisha nchi hapa niviongozi ambao hawaijui dini, au kwamakusudi,tama, hawaifati dini.
kumbuka anaeishi bila kufata talatibu na sheria anakosa baraka (analaniwa) tunayoyapitia ni matunda tuliyopanda

Jitafakali na andiko hilo chini kama nimekosea kumtaja mngu

EWE MWANA WA KUWA
Nitaje mimi katika dunia yangu ili niweze kukukumbuka katika mbingu yangu. Ndipo macho yangu na yako yatakapopata faraja

Tembea katika sheria zangu kwa ajili ya upendo wangu na jinyime kile unachokipenda kama unatafuta rihdaa yanguu.

binadamu usipo pata chakula utazofika kumbuka hauna mwili tuu unaroho umewai jiuliza chakula cha roho ni nini?
mkuu ni SALA. (sala ni kiunganishi cha binadam na mngu)
Ukikosa sifa za kiroho iwe nikiongozi au mwananchi. kiongozi, (utakosa sifa kushindwa kuongoza) mwananchi walio katana mapanga wengine sioviongozi tatizo wamekosa sifa za kiroho (roho inaitaji chakula) sala na mafundisho ya mngu mngu ni umoja na upendo.
Jiulize nimungu yupi wanaye gombeyana.

Utajengeje misingi bila kumjuwa mngu

UMEKARIRI.


  1. Mimi ni Mkristo Mkatoliki (kwa sasa). Nimebatizwa katika kanisa la Parokia ya Msalaba Mtakatifu (Holy Cross Parish) Mwadui, Shinyanga. Inaweza isiwe hoja anyway. Dini naijua. Hata yako naijua as long as ni dini katika Tanzania. Najua pia dini zimeingiaje Tanzania achilia mbali historia ya Ukatoliki kuanzia "Papa wa Kwanza" Petro hadi huyu anayeng'atuka. Najua habari za akina Luther, Hellen G. White, Joseph Smith (wa Mormonism) etc. Bado hii si hoja pia.
  2. Kuishi kwa misingi si lazima iwe kwa mujibu wa dini ama dini fulani. Kuna sheria za nchi ambazo ni utaratibu. Kuna sheria ndogo ndogo (bylaws) ambazo huongoza utaratibu kama katika Halmashauri ama Taasisi. Si dini pekee. Dini nayo ina mchango wake kwa nafasi yake kwa muktadha wake. KWA FAIDA YA NCHI (HII) HATUHITAJI KUJENGA MISINGI KWA MITAZAMO YA DINI AMA REFERENCES ZA DINI/KIDINI.
  3. Wajapan hawapigani mambo ya dini wao wamepata roho gani? Waswizi hawapigani dini wao wamepata roho gani? Wapelekeni watoto wenu shule acheni kuenntertain upuuzi.

TATIZO LENU MNAONGEA SANA. ACHENI UKASUKU. PELEKENI WATOTO WENU SHULE. ELIMU IKIINGIA UJINGA WA KUPIGANIA KUCHINJA (KUUA WANYAMA), HAUTAKUWA NA NAFASI. HEBU NENDA UFARANSA UKAZUNGUMZE HABARI YA KUCHINJA!!!
AKILI ALIYOKUPA MWENYEZI MUNGU USIISHIE KUITUMIA KUNUNUA KIBERITI DUKANI!!!!


"WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom