Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Jf kwanza nitoe pole kwa misukosuko na migogoro iliyo tukuta mauaji,ajali,kutofautina kiimani nakisiasa,nk.
Kilicho nisukuma kuanzisha huu uzi nisintofahamu iliyo tokeya ya nani mwenye haki ya kuchinja wanyama iliyo sababisha kupoteza maisha ya mtumishi wa Mungu najamaa zetu kadhaa kuumizwa.
Ndugu zangu wote naomba bila kujali dini,imani Vyama tuiombee nchi yetu
Wahindu
Wayahudi
Wazoroastrian
WaBuddhism
Wakristo
Waislamu
Wababi
Wabahai
Wanao abudu mila,nk
Namazehebu yao yote
kila mumoja asali kuomba amani utengamano wa nnchi yetu bila amani hatuwezi endesha ibada zetu usiingize kitu kingine zaidi ya sala,maombi asante.
SALA YA UMOJA
Ewe mngu mwema! Umewaumba wanadamu wote kutokana na wazazi wamoja, umekusudia kuwa wote wawe jamii ya nyumba moja, na mbele ya utakatifu wako wote ni watumishi wako, na wanadamu wanalindwa chini ya hema lako, takatifu.
Watoto wako wamekusanyika kwenye meza yako ya ukarimu uwang'alishe kwa mwangaza wako kwa neema yako ee mungu! Wewe u mwema kwa wote, umewajalia, umewalinda, umewapa uzima wote. Kila mnyenyekevu amepewa uwezo wa akili nakuzamiswa kwenye rehema ya bahari ya rehema yako ewe mungu mkarimu! Waunganishe watumishi (wanadam) wako tushike mkino tumepotoka,vipofu,hatupo kwenye ukwli wako katika kila nchi acha dini mbalimbali zipatane,yafanye mataifa yawe taifa moja ili wajione ukoo mmja, wanadamu washirikiane kwania njema ya umoja na kukuabudu wewe.
Ee mungu ikweze bedera ya umoja wa wanadamu.
Ee mungu! Usimamishe imani kuu. Ee mungu! Unganisha mioyo yetu iwe moyo mmoja. Ee baba mwema! Tuburudishe kwa manukato ya upendo wako angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako yachangamshe masikio yetu kwasauti tamu ya neno lako, na utulinde katika kimbilio la neema yako. Wewe u mwenye uwezo, mwenye nguvu.
Wewe u msamehevu na wewe ni yule ambaye anasamehe makosa ya wanadamu. Kilio chetu,ni amani,upendo, tupe unyenyekevu
MUNGU NI MTUKUFU KABISA
Utawala imenilazimu kuiweka jukwa la siasa kufatana na tulipo fikia chonde chonde naomba usiingize mambo mengine zaidi ya SALA asante
Kilicho nisukuma kuanzisha huu uzi nisintofahamu iliyo tokeya ya nani mwenye haki ya kuchinja wanyama iliyo sababisha kupoteza maisha ya mtumishi wa Mungu najamaa zetu kadhaa kuumizwa.
Ndugu zangu wote naomba bila kujali dini,imani Vyama tuiombee nchi yetu
Wahindu
Wayahudi
Wazoroastrian
WaBuddhism
Wakristo
Waislamu
Wababi
Wabahai
Wanao abudu mila,nk
Namazehebu yao yote
kila mumoja asali kuomba amani utengamano wa nnchi yetu bila amani hatuwezi endesha ibada zetu usiingize kitu kingine zaidi ya sala,maombi asante.
SALA YA UMOJA
Ewe mngu mwema! Umewaumba wanadamu wote kutokana na wazazi wamoja, umekusudia kuwa wote wawe jamii ya nyumba moja, na mbele ya utakatifu wako wote ni watumishi wako, na wanadamu wanalindwa chini ya hema lako, takatifu.
Watoto wako wamekusanyika kwenye meza yako ya ukarimu uwang'alishe kwa mwangaza wako kwa neema yako ee mungu! Wewe u mwema kwa wote, umewajalia, umewalinda, umewapa uzima wote. Kila mnyenyekevu amepewa uwezo wa akili nakuzamiswa kwenye rehema ya bahari ya rehema yako ewe mungu mkarimu! Waunganishe watumishi (wanadam) wako tushike mkino tumepotoka,vipofu,hatupo kwenye ukwli wako katika kila nchi acha dini mbalimbali zipatane,yafanye mataifa yawe taifa moja ili wajione ukoo mmja, wanadamu washirikiane kwania njema ya umoja na kukuabudu wewe.
Ee mungu ikweze bedera ya umoja wa wanadamu.
Ee mungu! Usimamishe imani kuu. Ee mungu! Unganisha mioyo yetu iwe moyo mmoja. Ee baba mwema! Tuburudishe kwa manukato ya upendo wako angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako yachangamshe masikio yetu kwasauti tamu ya neno lako, na utulinde katika kimbilio la neema yako. Wewe u mwenye uwezo, mwenye nguvu.
Wewe u msamehevu na wewe ni yule ambaye anasamehe makosa ya wanadamu. Kilio chetu,ni amani,upendo, tupe unyenyekevu
MUNGU NI MTUKUFU KABISA
Utawala imenilazimu kuiweka jukwa la siasa kufatana na tulipo fikia chonde chonde naomba usiingize mambo mengine zaidi ya SALA asante