daaaaaaaahhh basi hapo grafani11 sio kujidai huko...........jamani grafani11 me missin you a lot ila sema hiyo jana nilishindwa kukuquote kwenye ile thread ya kijana mtata,maanake baada ya muda fulani niliikosa naona mamods waliiondoa fasta,niambie besti u hali gani weye?Take it easy my King!!!!!!!!!!
Mimi nikama ulivyoniacha ila sema tu nilikosa kampani yako ya michango yenye ujazo mithili ya nondo ya kujengea ghorofa.
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
Mimi nikama ulivyoniacha ila sema tu nilikosa kampani yako ya michango yenye ujazo mithili ya nondo ya kujengea ghorofa.
Ulipotelea wapi mdau mpaka watu tunakutafuta hivyo?
hahaaa mwache tu kijana ajidai
yuko na Heaven on earth!!!!!!!!!!!!!!!!!
umenitisha hapo kwenye hiyo red mie
Ngoja ukirudi tena rasmi nitakuletea vitu vipya (mambo yetu yale) nilivyovipata nikiwa safarini.haaaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaaa jamani grafani11 weye mkorofi weye,maanake hayo maneno yako ka vile waimba ngonjera,mie nilikuwepo tu mkuu sema tu vishughuli fulani vinendelea na vinanibana ile mbaya so usishangae kuona hata sasa nikapotea kwa kipindi fulani.
jamani we Heaven on earth wewe!!!wala usijali na wala usihofu shaka ondoa kabisa grafani ni swahiba sana tu tena hata ukipenda mi naweza jitolea kukulindia kifaa chako maanake na ye grafani saa zingine mmhhhhh ngoja nimtunzie siri swahiba naomba usiniulize maswali Heaven on earth coz mi ntakosa cha kujibu ujue maanke mi huwa nna kkigugumizi.
Usihofu Malkia wangu, Blue G ni dada yangu wa kwanza kwanza kumpata humu JF. Huyu ni mwanasaikolojia mzuri sana, nilimpata kule JF photo alipobaini hobi zangu baada ya kusoma nyuzi zangu kadhaa.hahaaa mwache tu kijana ajidai
yuko na Heaven on earth!!!!!!!!!!!!!!!!!
umenitisha hapo kwenye hiyo red mie
Usihofu Malkia wangu, Blue G ni dada yangu wa kwanza kwanza kumpata humu JF. Huyu ni mwanasaikolojia mzuri sana, nilimpata kule JF photo alipobaini hobi zangu baada ya kusoma nyuzi zangu kadhaa.
Baada ya hapo akawa ananitupia madongo ya chini kwa chini yaliyokuwa yananipa changamoto na wakati mwingine kunifurahisha sana siku nzima. Sasa alipoondoka kimya kimya aliniachia ukiwa.
okay kwa sasa nimekuelewa....
my sister Blue G naomba uendelee kunilindia mfalme wangu
ntashukuru sana
ngoja mimi nijisemee ukweli....
sijawahi kuombea tendo kabla ya kuanza kufanya, ila, kila siku huwa tunasali pamoja kabla ya kwenda kulala, baada ya sala za pamoja huwa tunakuwa na kipindi cha ukimya ambapo kila mtu anaomba anachotaka. huwa mara kwa mara siachi kumwomba Mungu abariki tutakachokifanya usiku huo, kwa hiyo haijalishi tutafanya muda gani. na asubuhi pia huwa naomba hilo, kwa hiyo ikitokea tunafanya any time mchana basi nakuwa nilishaliombea.
unajua haya mambo huwa hatuambizani "haya sasa tuanze", huwa yanatokea tu.... sasa sipati picha mzuka umepanda mnaambiana "No....ngoja kwanza tuombe"...... mpaka maombi yanaisha zile hamasa zinaweza zikawa zilishakimbia......
Usihofu Malkia wangu, Blue G ni dada yangu wa kwanza kwanza kumpata humu JF. Huyu ni mwanasaikolojia mzuri sana, nilimpata kule JF photo alipobaini hobi zangu baada ya kusoma nyuzi zangu kadhaa.
Baada ya hapo akawa ananitupia madongo ya chini kwa chini yaliyokuwa yananipa changamoto na wakati mwingine kunifurahisha sana siku nzima. Sasa alipoondoka kimya kimya aliniachia ukiwa.
Usihofu Malkia wangu, Blue G ni dada yangu wa kwanza kwanza kumpata humu JF. Huyu ni mwanasaikolojia mzuri sana, nilimpata kule JF photo alipobaini hobi zangu baada ya kusoma nyuzi zangu kadhaa.
Baada ya hapo akawa ananitupia madongo ya chini kwa chini yaliyokuwa yananipa changamoto na wakati mwingine kunifurahisha sana siku nzima. Sasa alipoondoka kimya kimya aliniachia ukiwa.
haaaaaaaaahaaaaaaaaaahaaaaaaaa grafani bwanah basi mwenzio hapo so sifaaa hizo mbichwa huoooo!!!!!!!!!!naonaje raha leo full tabasamu hadi watu wananishangaa wananiuliza kulikoni wakati sio kawaida yako??????????maana mie kawaida yangu ni full mnuno ili niogopwe............haaaaa hhaaaa haaaaa chezeya kusifiwa weye asante my kaka kwa sifa nzuri nzuri kama wazimaanisha kweli eti.
shaka ondoa mama mie nipo kwa ajili yenu nyote wawili,u a welcome my dear Heaven on earth huyo grafani11 hata simkaribishi ye mwenyeji sana kwangu maanake mpaka wakati mwingine anaingia kwangu bila kupiga hodi!!!!!!!!!!!grafani11 uwongo ukwelii????????????
Usihofu Malkia wangu, Blue G ni dada yangu wa kwanza kwanza kumpata humu JF. Huyu ni mwanasaikolojia mzuri sana, nilimpata kule JF photo alipobaini hobi zangu baada ya kusoma nyuzi zangu kadhaa.
Baada ya hapo akawa ananitupia madongo ya chini kwa chini yaliyokuwa yananipa changamoto na wakati mwingine kunifurahisha sana siku nzima. Sasa alipoondoka kimya kimya aliniachia ukiwa.
basi sawa na mie mbona atanileta hayo maeneo.......
keshanipa stori nzima ya udada/ukaka wenu
ha haaa, hii imekujaje tena hapa ilishapita, lol!nimevutiwa sana na mchango wako katika hili.
Mbele ya malkia sifa anazitoaga huyo.......:smile-big::smile-big:
sijawahi kukutana na wewe maeneo ya hum ndani unajifichiaga wapi wewe