Sal Davis na Mimi 2006 -2016 (4)

Babu...
Nimechaguliwa Mwandishi Bora Jukwaa la Historia miaka miwili mfululizo.

Kama ni historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ukipenda unaweza ukaanza na baba Kleist Sykes alipoasisi African Association 1924 na Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika (Umoja wa Waislamu wa Tanganyika)1933.

Ukija historia ya kuasisiwa kwa TANU 1954 unawakuta wanae: Abdulwahid, Ally na Abbas.

Abdul kadi yake ya TANU No. 3 na Ally No. 2, Nyerere No. 1.

Ukikaa ukiamka huwezi kuwafuta watu hawa katika historia ya uhuru na hata ofisi ya TAA ilipozaliwa TANU alijenga Kleist Sykes.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…