Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,137
- 33,480
Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k
Na alilitamka wakati akihitimisha kwa kusema forgive me for my "sakramkritorevibieji" words and perhaps for more that I didnt deserve to say.
Sasa waungwana kama kuna mtu Anaweza kunisaidia alitamka neno gani hapo naomba msaada wenu
😅😅😅 kizungu kilikuja na mashua au melikebu tusameheane.
Nitaweka link hapa chini
Na alilitamka wakati akihitimisha kwa kusema forgive me for my "sakramkritorevibieji" words and perhaps for more that I didnt deserve to say.
Sasa waungwana kama kuna mtu Anaweza kunisaidia alitamka neno gani hapo naomba msaada wenu
😅😅😅 kizungu kilikuja na mashua au melikebu tusameheane.
Nitaweka link hapa chini