"Sakramkritorevibieji" alisikika Kabudi mwishoni mwa hotuba yake nchini Kenya

Mr Q

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
16,137
33,480
Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k

Na alilitamka wakati akihitimisha kwa kusema forgive me for my "sakramkritorevibieji" words and perhaps for more that I didnt deserve to say.

Sasa waungwana kama kuna mtu Anaweza kunisaidia alitamka neno gani hapo naomba msaada wenu
😅😅😅 kizungu kilikuja na mashua au melikebu tusameheane.

Nitaweka link hapa chini
 


Unaweza kuforward mpaka dakika ya nane hapo kuweza kusikia nilicho maanisha hapa
 
Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k

Na alilitamka wakati akihitimisha kwa kusema forgive me for my "sakramkritorevibieji" words and perhaps for more that I didnt deserve to say.

Sasa waungwana kama kuna mtu Anaweza kunisaidia alitamka neno gani hapo naomba msaada wenu
😅😅😅 kizungu kilikuja na mashua au melikebu tusameheane.

Nitaweka link hapa chini
Hata huko Google limebuma. This is a new and bombastic word which Prof. has created to bamboozle his listeners.
 
Hata huko Google limebuma. This is a new and bombastic word which Prof. has created to bamboozle his listeners.
Mkuu umesikia speech yake? Labda nimeliandika ndivyo sivyo nilivyo lisikia

Kwakweli hata wakenya wenyewe walibaki kucheka tu 😁😁😁😁😁
 
Hebu sasa msikilize na kumtuzama hapa. Dakika ya pili itatosha kukuambia nini maana ya msamiati mgumu ktk mazungumzo

Nimemsikia huyo jamaa.. Ila kiingereza cha hawa jamaa wakati mwingine huwa wana vocabulary yao kabisa. Na hasa wakianza kuongea kwa kutumia kile kiitwacho "Pidgin English" hapo huambui kitu.
 
Back
Top Bottom