Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,198
- 162,746
Katika ukurasa wake wa twitter na facebook, Zitto ameseme leo ataelezea "matobo" ya majibu ya serikali kuhusiana na sakata la shilingi trilioni 1.5 na baada ya hapo wataliachia Bunge lifanye kazi yake.
Safi sana Zitto!
Hizi sio zama za zidumu fikra za mwenyekiti kama ambavyo kundi fulani la watu linavyotaka Taifa zima tuamini bali ni zama za zidumu fikra kinzani kwa maendeleo ya Taifa..
Safi sana Zitto!
Hizi sio zama za zidumu fikra za mwenyekiti kama ambavyo kundi fulani la watu linavyotaka Taifa zima tuamini bali ni zama za zidumu fikra kinzani kwa maendeleo ya Taifa..