Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Nakumbuka ni kipindi ambacho afisi ya DPP iligeuka kuwa TRA yani mtuhumiwa anakili kosa kisha analipa fidia mambo yanaisha. Hii iliwahusu wale wenye kesi za uhujumu uchumi.
Lakini ghafla tukasikia ofisi imevunjwa na nyaraka zimeibwa.
Sasa nauliza vipi hili sakata liliishaje?
Vipi watuhumiwa walikanatwa?
Na mbona uma haukujulishwa kilichoendelea wakati hii ni ofisi ya uma?
Muwe na ijumaa njema.
Lakini ghafla tukasikia ofisi imevunjwa na nyaraka zimeibwa.
Sasa nauliza vipi hili sakata liliishaje?
Vipi watuhumiwa walikanatwa?
Na mbona uma haukujulishwa kilichoendelea wakati hii ni ofisi ya uma?
Muwe na ijumaa njema.