Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,268 Aug 24, 2013 #1 Wana jf,mnakumbuka sakata la kukamatwa maelfu ya kilo ya meno ya tembo aliyokamatwa nayo Hasan Hasanoo mfadhili Wa simba,hivi kesi yake imeishia wapi?
Wana jf,mnakumbuka sakata la kukamatwa maelfu ya kilo ya meno ya tembo aliyokamatwa nayo Hasan Hasanoo mfadhili Wa simba,hivi kesi yake imeishia wapi?
dafity JF-Expert Member Joined Aug 16, 2008 Posts 1,878 Reaction score 2,085 Aug 24, 2013 #2 Uchunguzi haujakamilika, na hautakamilika kamwe!
dafity JF-Expert Member Joined Aug 16, 2008 Posts 1,878 Reaction score 2,085 Aug 24, 2013 #3 Upepelezi Haujakamika
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,662 Reaction score 9,974 Aug 24, 2013 #4 naona umemkumbuka X-wako? vp hajambo?
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,268 Aug 25, 2013 Thread starter #5 Siyo kukumbuka x,inabidi tuelezwe kesi hiyo imeishia wapi?wakati tembo na Mali asjli zetu zinateketea kupitia mikono ya watu wachache,
Siyo kukumbuka x,inabidi tuelezwe kesi hiyo imeishia wapi?wakati tembo na Mali asjli zetu zinateketea kupitia mikono ya watu wachache,
Kaveli JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 5,458 Reaction score 8,961 Nov 3, 2016 #6 Huyu mtu inaonekana Serikali keshaiweka mfukoni. Bongo full magumashi ! -Kaveli-
Kaveli JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 5,458 Reaction score 8,961 Nov 3, 2016 #7 Wakuu, hii kamata kamata ya juzi mpaka wakamdaka huyo 'mpemba', eti tayari keshapata DHAMANA? -Kaveli-
Wakuu, hii kamata kamata ya juzi mpaka wakamdaka huyo 'mpemba', eti tayari keshapata DHAMANA? -Kaveli-