Sakata la ESCROW: Magufuli mkamate Seth wa IPTL

Sakata la ESCROW: Magufuli mkamate Seth wa IPTL

Ingekuwa Buhari tungeshaona manyoya hapa. Kuna shimo moja ndio yanakaa Malugumi, PAP, IPTL, Deepgreen, Meremeta, Stanbic, utoroshaji pesa za kigeni, Simba Trust huko huwa hawaendagi ukitaka kwenda unachanganyikiwa unarudi unaanza Kuimba Richmond Richmond unakaa chini watu wamesahahu.
 
rais asipotumbua hili jinamizi la iptl\pap...

wapinzani watapata hoja ya nguvu ktk uchaguzi ujao
 
Kwani ni lini walikiri kwamba fedha za ESCROW zilikuwa za umma? Wenyewe walisema hazikuwa fedha za umma na wala hawakuwa na shida nazo. Kwa hiyo acheni uchochezi wenu..
 
Thubutuuuuu! Nani amkamate Seth. Singa singa huyo ni jipu uchungu limekaa pabaya. Si rahisi kutumbuliwa na hivyo linahitaji mtu jasiri anayeweza kufanya eperation (kulipasua jiupu hilo) ambayo inahusisha kukata kata baadhi ya vioungo. Sidhani kama mtu wa kufanya upasuaji huo ni JPJM.

Tusubiri tuone!
Alifanya hivyo tukalialia
 
Back
Top Bottom