Kama mafisadi wanavyojivua gamba kwa kuvaa gamba lingine na wewe jivushe la utakatifu‘!!
Nimesema wewe ujivishe la utakatifu.....No,me sijivui gamba,...tena hilo neno baya kweli so longer as limetumiwa na watu wabaya tayari!
Naona niishi kitakatifu sasa,na kila mtu anaweza,....kama ivuga kaweza nani atashindwa
Kama Ivuga amekua "Saint Ivuga",basi
na mimi naweza kuwa Saint Speaker,...
na kila mtu ajiite Saint *****;
Nahitaji kipimo nijue kama nakaribia kutangazwa mtakatifu au nisubiri
kidogo!
Nikikosa u-Saint na ivuga akabaki kuwa saint najiondoa JF
huwezi kuwa Saint.Kama Ivuga amekua "Saint Ivuga",basi
na mimi naweza kuwa Saint Speaker,...
na kila mtu ajiite Saint *****;
Nahitaji kipimo nijue kama nakaribia kutangazwa mtakatifu au nisubiri
kidogo!
Nikikosa u-Saint na ivuga akabaki kuwa saint najiondoa JF
No,me sijivui gamba,...tena hilo neno baya kweli so longer as limetumiwa na watu wabaya tayari!
Naona niishi kitakatifu sasa,na kila mtu anaweza,....kama ivuga kaweza nani atashindwa
There we go! Kila la heri mkuu na azma yako ya kutaka kuwa Saint.
kwa nini unafikiri kuwa unaweza kuwa saint kama mimi Saint Ivugakwanini unafikiri siwezi kuwa saint?
hahaha,unachekesha kweli ivuga,...ops,Saint Ivuga
kwa nini unafikiri kuwa unaweza kuwa saint kama mimi Saint Ivuga
nabii hakubaliki kwao, japo mimi sio nabii!
Amani iwe nawe:
kwa sababu mimi ni mtakatifu toka ndani ya moyo wangu,..
msafi wa maneno na matendo pia,...
i deserve,....and you.....
kwa sababu nilikuwa na dhambi(hata wewe unazo nyingi tu)
na sasa hivi nimetubu
na nimemrudia Mungu
na sitarudi tena kwenye njia chafu
na jina la Bwana lihimidiwe
hallelujah
Amani iwe nawe:
kwa sababu nilikuwa na dhambi(hata wewe unazo nyingi tu)
na sasa hivi nimetubu
na nimemrudia Mungu
na sitarudi tena kwenye njia chafu
na jina la Bwana lihimidiwe
hallelujah
Amani iwe nawe: