Kujua Mafanikio Yake Kwa Wanataaluma Wake Huku Katika Ajira?
Kujua Wanafundishwa Na Wahadhiri Wa Aina Gani?
Anyway Ninachojua Ni Kwamba SAUT Ni Chuo Kikuu Cha Watu Very Intelligent Tena Wa KUTUKUKA Hivyo Nakusihi Tu Unajijua Wewe Ni POPOMA Tafadhali Tafuta Vyuo Vikuu Vingine Kama Cha Hapo Survey Kwa Mbele, TEOFILO Kisanji, KIU, Dodoma Wine University Na KIU. Ukishindwa Kuchaguliwa SAUT Basi Jua Hata MZUMBE Na TUMAINI Watakukataa. Na Ukibahatika Kuchaguliwa SAUT Nenda Kakae Katika Hostel Ya DARFUR Utakifurahia Chuo. Usiahau Kunisalimia MASELA Wangu Wote Wa LUCHELELE Na Hapo Kona Bar Tafadhali ILA Kazana Na Masomo Na Usije Kututia Aibu Kijana. Hakikisha Unasoma Mno ILA Weekend Kamwe Usisahau Kwenda KUPOMBEKA Na KUTUMIKA Ili Ukirejea Darasani AKILI Iweze Kuchaji Vizuri.
Hivi mtu kafika mpaka chuo lakini common sense huna?umeshindwa nini ku_google kitu kidogo kama hiko mpaka ukaja huku?unafikiri jf ni encyclopedia nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.