Saikolojia: Fahamu magonjwa ya kisaikolojia, dalili,tabia na mifano.(Case study Tanzania)

ndg naomba ukija uchimbue kwa undan zaid HYPOCONDRICAL ,unafanya kz nzur saaana naipenda sana mental health bas tuu
 
Ni vyema huo msaada ujipe mwenyewe kwanza maana hata tabia hiyo ya kujifanya ni mjuaji sana wa tabia za wengine ni moja ya matatizo ya kiakili
Kweli kama jina lake halichachi na ndio msaada anahitaji.....hahahaha
 
Wewe na wendawazimu wenzako nendeni mkapate huo msaada
Sasa nimekuelewa vizuri
IMG-20180330-WA0004.jpg
 
mm najiulizaga hivi ni roho mbaya au nasema basi naacha maana ntashindwa kuishi na watu ,lakini wapi siwezi kufumbiaga macho
Yaani ww una OCD iliyopea,hata matibabu yako km atafanya makosa kidogo anayekupa counseling,anaweza kukufanya ukawa kichaa kamili. Hatua muhimu ya kuchukua ili uanze kukabiliana na tatizo hili kabla ya kumuona daktari wa magonjwa ya akili,uanze kwanza kukubali kwamba hilo ni tatizo na unahitaji tiba. Ni lazima kwanza ww ujue kwamba hilo ni tatizo. Na namna ya kujua ni rahisi tu. Km unafanya kitu kinachowakera wengi ktk jamii uliyopo,maana yake ww ndo tatizo.
 
Kulifahamu tatizo ni kufika asilimia 50% ya utatuzi wake....haliwezi kuwa na changamoto ktk kulitatua kwa namna ya kutisha...
 
hii tabia kumbe tunayo wengi,mi sa nyingine nikikaa peke angu naanza kujiuliza hivi hii ndo gubu au ni nini?Lakini najiona sina gubu ila wao ndo wana dharau nnachokifanya
Soma post number #63 nilichomshauri mwenzio ndo hicho hicho inabidi ukifuate pia. Nyie ni wagonjwa kamili wa OCD tena iliyovuka kiwango cha kawaida!!
 
Back
Top Bottom