Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,569
Uyo ni mm kabisaMi hainipi kero ila atakaekuja kuvuruga nilipopanga ndo hatari inaanzia hapo,hata nisipomwambia nimekwazika ntabaki nimenuna huku namchekea,nanung'unika siku nzima yaani nahisi amedharau nilichokifanya
kiasi hata ndugu zangu wananichukia nikianza kupiga deki sitaki kumuona mtu kapitisha guu lake, yani wananijua ntanuna ntarudia sili sikuhiyo ntakavyonuna...
Halafu sipendi mtu asijue thamani ya nilichokifanya... unapokanyaga nilipodeki nakufokea hata ukiwa mkubwa kwangu... yani mm na mazingira mazingira na mm, mpaka wananiambiaga nyumbani kwako hatutakuja...