Saida mwilima nae....

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
SAIDA MWILIMA AVISHWA PETE YA UCHUMBA KWA MBINDE








Mtangazaji wa Luninga Saida mwilima amevishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mchumba wake wanotarajia kufunga ndoa hivi punde.

Hii ndo pete aliovishwa mtangszaji wa kipindi cha Bongo beat cha Star Tv.


Nasibu akiwa na mchumba wake Wema sepetu nao walialikwa .

Sauda mwilima akicheza muziki kwa furaha na mchumba wake baada ya kuvishana pete siku hiyo.

 
Mbona wasema kwa mbinde? kwani amelazimisha? Msipende kusema watu vibaya hata pale ambapo hawajakosea chochote.

sorry, ni kwa mujibu wa mblogger aliyeandika hiyo habari hapa labda kiswahili ni shida: Mbinde =mbwembwe??
 
Kweli dunia imeisha wakuu....unajya hizo picha naona kama pepo hv...lol..MUNGU NISAMEHE...
 
..Baada ya siku mbili unasikia wametemana..kama mchezo wa kuigiza vile.
But, Hongera zao.
 
SIPENDI tabia ya wanaume kusuka nywele na kuvaa hereni...ndio mwanzo wa kubinuliwa huo!
 
Wenyewe wanamuita malkia wa mikorogo cheki kwenye jointi za kwenye vidole ahahahAaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
 
kuna Saida Mwilima na Sauda Mwilima, huyo ni Sauda Mwilima. Saida Mwilima alikuwa akitangaza tbc1 sijui siku hizi yupo wapi?
 
cpendagi kukosoa but huyu dada ananichoshaga jamani na uvaaji wake, hebu aamie kwenye vitenge labda kidogo, cjawahi kumuona kapendeza cjui ni macho yangu, hilo gauni na hiyo bra jamani, hizo kucha,nywele, wanja....wacha tu ninyamaze, kwa mchumba ndio nimebloo kabisa.....nawatakia kila la kheri....
 

mae hujaachaga wivu tu kwa Sauda???...lol!!! avae matenge kwanianaenda dhifa za kitaifa bana....
afu hiyo 'shindilia yake ni hiy hiyo au anapenda za hivo!!!
hongera mwayego wengine wanakuona wa nini kumbe kaka braza alikuwa anajiuliza atakupata lini...
 
Acha wivu mtoto wa watu anapendeza sana tena akiongezea na mkorogo ndiyo usiseme kabisa.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…