Leo kwenye taarifa ya habari TBC1 (8pm) IGP Said Mwema amesikika akisema kuwa baadhi ya mabalozi wa nchi za nje na wawekezaji wamekuwa wanampigia simu kutokana na kile alichokiita hali ya usalama. According to Mwema 'wapigaji simu' hao wamekuwa wanasema 'tuondoe mali zetu' maana hakuna usalama! Kwa hiyo anakutukumbusha sisi watanzania tudumishe amani ili wawekezaji wasiondoke!
My take: Huu ni upotoshaji wa hali ya juu na madharau makubwa kwa Watanzania kutoka kwa IGP. Hivi huyu Mwema anataka kusema Iraqi kuna usalama zaidi ya Tanzania? anajuwa wawekezaji walioko Iraqi na wamewekeza kiasi gani? Na Afghanistan? Hata hapo Kenya, ambapo yeye Mwema aliwahi kuishi wakati akiwa Interpool, kuna makampuni mangapi ya nje? Hali ya ki-usalama kati ya Kenya na Tanzania ikoje? Ni lini viongozi wa nchi wataacha kuhubiri huu upuuzi na madharau kwa wananchi?
My take: Huu ni upotoshaji wa hali ya juu na madharau makubwa kwa Watanzania kutoka kwa IGP. Hivi huyu Mwema anataka kusema Iraqi kuna usalama zaidi ya Tanzania? anajuwa wawekezaji walioko Iraqi na wamewekeza kiasi gani? Na Afghanistan? Hata hapo Kenya, ambapo yeye Mwema aliwahi kuishi wakati akiwa Interpool, kuna makampuni mangapi ya nje? Hali ya ki-usalama kati ya Kenya na Tanzania ikoje? Ni lini viongozi wa nchi wataacha kuhubiri huu upuuzi na madharau kwa wananchi?