Said Mwema aongelea usalama wa nchi na uwekezaji

FJM

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
8,081
6,198
Leo kwenye taarifa ya habari TBC1 (8pm) IGP Said Mwema amesikika akisema kuwa baadhi ya mabalozi wa nchi za nje na wawekezaji wamekuwa wanampigia simu kutokana na kile alichokiita hali ya usalama. According to Mwema 'wapigaji simu' hao wamekuwa wanasema 'tuondoe mali zetu' maana hakuna usalama! Kwa hiyo anakutukumbusha sisi watanzania tudumishe amani ili wawekezaji wasiondoke!

My take: Huu ni upotoshaji wa hali ya juu na madharau makubwa kwa Watanzania kutoka kwa IGP. Hivi huyu Mwema anataka kusema Iraqi kuna usalama zaidi ya Tanzania? anajuwa wawekezaji walioko Iraqi na wamewekeza kiasi gani? Na Afghanistan? Hata hapo Kenya, ambapo yeye Mwema aliwahi kuishi wakati akiwa Interpool, kuna makampuni mangapi ya nje? Hali ya ki-usalama kati ya Kenya na Tanzania ikoje? Ni lini viongozi wa nchi wataacha kuhubiri huu upuuzi na madharau kwa wananchi?
 
Hawsemi kweli kilichowashinda wawekezaji ni sera ya nchi mbaya kwao, hakuna mazingira ya kuridhisha na serikali yetu imekuwa ya kisanii mno wanaona ni upuuzi kuwekeza hapa, acha waondeke watarudi mambo yakiwa shwari.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Leo kwenye taarifa ya habari TBC1 (8pm) IGP Said Mwema amesikika akisema kuwa baadhi ya mabalozi wa nchi za nje na wawekezaji wamekuwa wanampigia simu kutokana na kile alichokiita hali ya usalama. According to Mwema 'wapigaji simu' hao wamekuwa wanasema 'tuondoe mali zetu' maana hakuna usalama! Kwa hiyo anakutukumbusha sisi watanzania tudumishe amani ili wawekezaji wasiondoke!

My take: Huu ni upotoshaji wa hali ya juu na madharau makubwa kwa Watanzania kutoka kwa IGP. Hivi huyu Mwema anataka kusema Iraqi kuna usalama zaidi ya Tanzania? anajuwa wawekezaji walioko Iraqi na wamewekeza kiasi gani? Na Afghanistan? Hata hapo Kenya, ambapo yeye Mwema aliwahi kuishi wakati akiwa Interpool, kuna makampuni mangapi ya nje? Hali ya ki-usalama kati ya Kenya na Tanzania ikoje? Ni lini viongozi wa nchi wataacha kuhubiri huu upuuzi na madharau kwa wananchi?

Usiumize kichwa kwa sababu wawekezaji wanahaki ya kudai usalama wao na mali zao. CCM wanajua walivyopeana na wawekezaji na walinzi wao polisi si lo lote wala si cho chote kwa nguvu ya umma. Na wanahaki ya kumpigia mwema kwa sababu analinda masilahi ya shemeji ambayo ni ufisadi kupitia uwekezaji.

NA SISI WANANCHI TUNA HAKI YA KUULIZA MANUFAA YA UWEZEKAJI NA KUDAI MALI ZETU ZILIZOPOEWA KWA UFISADI WA CCM
 
Hawsemi kweli kilichowashinda wawekezaji ni sera ya nchi mbaya kwao, hakuna mazingira ya kuridhisha na serikali yetu imekuwa ya kisanii mno wanaona ni upuuzi kuwekeza hapa, acha waondeke watarudi mambo yakiwa shwari.

China, ambayo kiitakadi wako karibu zaidi na CCM wameamua kuanzisha kituo kikubwa cha uwekezaji Kenya! This tells you something is not right, na wakubwa hawa wanaishia kusema amani na utulivu. Nani ataanzisha kiwanda hapa wakati umeme hakuna?
 
Saidi na wawekezaji inabidi waelewe kuwa mahali ambapo hakuna haki hakuwezi kuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea na azma yao ya kumaliza stock zilizojazwa kwenye armoury kabla ya uchaguzi nchi haitakuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea kufanya kazi mechanically bila reasoning hakutakuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea kukumbatia na kunyenyekea chama tawala basi nchi haitakuwa na amani.

Saidi, Hata upewe airtime kwenye TV zote siku nzima ukahubiri bila ya na kuzingatia masuala ya hapo juu amani nchi hii itakuwa ni ndoto ya mchana.
 
Saidi na wawekezaji inabidi waelewe kuwa mahali ambapo hakuna haki hakuwezi kuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea na azma yao ya kumaliza stock zilizojazwa kwenye armoury kabla ya uchaguzi nchi haitakuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea kufanya kazi mechanically bila reasoning hakutakuwa na amani.

Kama vijana wa Saidi wataendelea kukumbatia na kunyenyekea chama tawala basi nchi haitakuwa na amani.

Saidi, Hata upewe airtime kwenye TV zote siku nzima ukahubiri bila ya na kuzingatia masuala ya hapo juu amani nchi hii itakuwa ni ndoto ya mchana.


Sasa hivi Wamarekani wanasaka uranium yetu kwa udi na uvumba, nadhani mmemsikia Kikwete akisema vyandarua kwa kila mtu by August. hii ni barter-trade toka marekani kwamba wao wanatupa net za mbu na sisi tunawapa uranium. Na mtu wetu keshalainika. Hata tungeanza kukata mapanga kila siku Mmarekani hatoondoka bila kupata Uranium. Mbona wako DRC pamoja na migogoro yote huko?
 
Kuna redio na viongozi wa dini ambao wanasambaza ujumbe wa chuki dhidi ya watu wengine, na hata UwT wamekiri mbele ya wabunge kwamba udini sasa ni tatizo nchini kwetu, husikii kiongozi yeyote akikemea kwa dhati. Viongozi wamekaa mkao wa ku-insinuate kinachuzungumzwa na viongozi wa kisiasa na kuuaminisha umma kwamba tatizo letu ni viongozi wa kisiasa.

Huu uongo na propaganda vilifanikiwa kipindi cha Mrema, ktk Dunia ya leo watashindwa tu. Kama kuna mwekezaji atakimbia TZ, basi ni kwa sababu ya umeme. Halafu hii busara ya kuwajali wawekezaji kuliko wazawa imeanza lini? Ndio maana watu waliuawa kama Kuku Nyamongo na miili yao kutelekezwa barabarani ili kuwafurahisha wawekezaji?
 
Sasa hivi Wamarekani wanasaka uranium yetu kwa udi na uvumba, nadhani mmemsikia Kikwete akisema vyandarua kwa kila mtu by August. hii ni barter-trade toka marekani kwamba wao wanatupa net za mbu na sisi tunawapa uranium. Na mtu wetu keshalainika. Hata tungeanza kukata mapanga kila siku Mmarekani hatoondoka bila kupata Uranium. Mbona wako DRC pamoja na migogoro yote huko?
mkuu nimekusoma!
inaniuma sana asee!! chandarua ndiiyo tatizo la mtanzania leo? tatizo ni net ya kuzuia mbu?
ilienda kijijini koa wa mbali sana one time, nilikuwa nafanya utafiti wa maswala ya afya...........mwanakijiji mmoja akanambia, serikali hii imekuwa ya ajabu sana, wanatuambia tutumie dawa mseto. ambayo inauzwa kwa bei tusiyoweza kuinunua. Wakati wa Nyerere, mabwana afya walipita kila kijiji na mtaa kuhakikisha kuwa mazalia ya mbu yamefukiwa na mazingira yapo safi.
SASA TUNAMBIWA FUGA MBU TUKUPE NET, FUGA MBU UNUNUE DAWA MSETO.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kuna redio na viongozi wa dini ambao wanasambaza ujumbe wa chuki dhidi ya watu wengine, na hata UwT wamekiri mbele ya wabunge kwamba udini sasa ni tatizo nchini kwetu, husikii kiongozi yeyote akikemea kwa dhati. Viongozi wamekaa mkao wa ku-insinuate kinachuzungumzwa na viongozi wa kisiasa na kuuaminisha umma kwamba tatizo letu ni viongozi wa kisiasa.

Huu uongo na propaganda vilifanikiwa kipindi cha Mrema, ktk Dunia ya leo watashindwa tu. Kama kuna mwekezaji atakimbia TZ, basi ni kwa sababu ya umeme. Halafu hii busara ya kuwajali wawekezaji kuliko wazawa imeanza lini? Ndio maana watu waliuawa kama Kuku Nyamongo na miili yao kutelekezwa barabarani ili kuwafurahisha wawekezaji?
Inaniuma sana mkuu!! kilichotokea Nyamongo ni blue print ya dhuluma ya serikali ya CCM.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nafikiri hapa tatizo ni tafsiri ya neno ' amani' inawezekana mheshimiwa kashindwa kuipata vizuri! Bila haki hamna amani! Aanze kuhubiri haki kwanza!
 
Nafikiri hapa tatizo ni tafsiri ya neno ' amani' inawezekana mheshimiwa kashindwa kuipata vizuri! Bila haki hamna amani! Aanze kuhubiri haki kwanza!

Kuna kila dalili kwamba tasfiri ya 'amani' ni pale wananchi wanapokaa kimya hata ukiwafinya wanakaa kimya! Wakubwa hawa wanataka watulishe matapishi, watupangie saa ya kulala, kuamka, watusombe kwenye fuso, watugeuze kuwa 'mobile billboards' na t-shirts zao za manjano! ili mradi ni ndio mzee, ndio mzee. Hapo watasema kuna amani na hata yule mgawaji wa vyandarua akija atapokelewa na maneno kama 'welcome to Tanzania, a very peaceful country, people are very friendly and we have a lot of opportunities for you to invest, Tanzanite, gold, natural gas, diamond, we even have uranium. so you are most welcome!
 
Hamkumbuki m-b-u-m-b-u mwenzie kampeni zilipo mshinda, alienda jukwaani ameshikilia simu ambayo hata haiongei alafu anawaambia watu alikua anaongea na Obama. Ama kweli!
 
Hiyo ndio akili ya mwema, utumwa, utumwa!

Ndio viongozi wetu wao wenyewe ni watumwa kuliko kawaida, achilia mbali uhusianao wake na hao watu upo je mpaka wampigie simu yeye kuhusu uwekezaji! au ni uwekezaji gani ambao yeye anaona unamslahi kwa Umma ambao anadhani unatufaa sana mpaka kuupigia magoti?
 
Hamkumbuki m-b-u-m-b-u mwenzie kampeni zilipo mshinda, alienda jukwaani ameshikilia simu ambayo hata haiongei alafu anawaambia watu alikua anaongea na Obama. Ama kweli!

Nakumbuka makamu wake (wakati huo mgombea) Dr. Bilali alitamba huko Mwanza kuwa bwana mkubwa ndio rais wa kwanza Africa kulala white house (sitaki kutumia the exact words maana inaleta tafsiri nyengine). Hata hivi wakati huo tulijuwa tumeshauzwa. Chifu Mangungo!
 
Back
Top Bottom