Miaka yao walikuwepo wachezaji wengi wenye vipaji kama wakina Hamis Thobias Gaga,Stiven Mussa,Athuman China,Mao Nkami,James Tungaraza,Peter Tino,Innocent Haule,Michael Paul (Nyron),Ramadhan Lenny,George Lucas,Fumo Felician,Nteze John,Abubakar Salum,Gebo Peter,Ken Mkapa,Mbui Yondani,Celestine Sikinde Mbunga,Zamoyoni Mogellah,Said Swed,Dua Said hawa ni baadhi tu ya watu wenye vipaji vya mpira tulivyowahi kuviona pamoja na Said Mwamba (Kizota) kutoka Tabora...