DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Kigwangalah anakata tawi la mti alokalia..hapo ndo namtilia shaka IQ yake.
Kigwangalah anakata tawi la mti alokalia..hapo ndo namtilia shaka IQ yake.
Naona kula hazikutosha
Kigwangalah anakata tawi la mti alokalia..hapo ndo namtilia shaka IQ yake.
Ni KULA siyo KURA wewe ndio mgeni hapa mjini.ni KURA sio KULA!
Dr.kigwa hajajua tu watu wanataka nini,alipoanza kutaja maelimu yake kwa mbwembwe nikajua tu lazima atapigwa chini.
Kwa uchache wa kura alizopata, inaashiria magamba wengi hawamtaki.Said Mtanda aibuka kidedea kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika hivi punde bungeni kuwania nafasi ya ujumbe katika bunge la Africa.
Said Mtanda kapata votes 142 viz a viz Hamisi Kigwangalla with 76 votes.
Source: Toka Bungeni Live
Kwa uchache wa kura alizopata, inaashiria magamba wengi hawamtaki.
Nilitaka kujua wapinzani wengi walimpigia kura nani kati ya hawa wawili.
Mheshimiwa pole sana, kwa hali ilivyo jiandae tu kuwa mbunge mstaafu, kwa sasa ukiweza ikomalie kisawasawa hoja ya wastaafu bungeni ili na wewe uje kufaidi matunda yake mapema.Let me be guys...
Let me be guys...
Mheshimiwa pole sana, kwa hali ilivyo jiandae tu kuwa mbunge mstaafu, kwa sasa ukiweza ikomalie kisawasawa hoja ya wastaafu bungeni ili na wewe uje kufaidi matunda yake mapema.
Ama mbeleko umekatika
Au amewanyea waliompakata
hadi ubunge akaukwaa
na sasa wameamua kumtosa...
Anavuna alichopanda!
DR. Kigwangwalla mbona mnamchukia sana? Nafikiri Mungu anamuandalia sehemu nzuri sana zaidi ya hiyo.
Nimekusoma mkuuSaid Bagaile mkuu