Said alimpenda mkewe kupitiliza

Moronight walker

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2021
Posts
3,103
Reaction score
4,724
Said alimpenda mkewe kiasi Cha kupitiliza akafika stagi ya kuwa na wivu mapaka kumzuia asiwe anatoka home.

Said inaonesha alifika stage alikuwa anashidwa kujicontrol yeye Kama yeye akiwa na mkewe, ushaidi mmoja wapo ndo huu, 👇

Your browser is not able to display this video.


- Ila hatujui labda inawekana yalikuwa mapenzi.
 
Mwandiko huu unachafua lugha yetu.
 
Inawezekana sana tu kama mkipendana kwa dhati
 
... huu upuuzi wa mwanamke kujua umempenda kupitiliza wanaume inabidi tuuache, jamaa anaonesha hakuwa anajiamini kwa huyo mwanamke na mwanamke alijua wazi kutojiamini kwake na hakuwa na uwezo wa kuja kuachwa kitu ambacho mwanamke akijua ni sumu mbaya sana kwenye mahusiano sababu atakuwa anakupelekesha anavyotaka na hatokuwa na nidham ikifika katika stage ya kutaka kumuacha uwezo huo hutokuwa nao na ukifikiria ataenda kwa mwingine wivu na tamaa vinawaka rohoni unaona solution kuu ni kufanya aliyofanya ili wote mkose. Wanawake ni urithi wetu, tuwapende kwa kiasi na muda mwingi tuishi nao kwa akili sio kimwili sana (mfano kumfanyia matendo hata yasiyo na ulazima na pengine ya kukuumiza kwa lengo la kumridhisha tu) pia usije ukaruhusu ajenge kujiamini kulikopitiliza kwako all in all maisha yanaendelea.
 
Hakuna kitu mbaya kwenye mahusiano mkama mtu kuchezea hisia zako .....unajitoa unajidhalilisha na kujinyima kumbe mwenzio anaigiza... siku ukigundua unajikuta berreta au glock inaongea nae.
 
Tatizo la Said ni moja…kuwa be Mke mmoja

ushawahi kusikia Mtu mwenye wake wengi kaua Mke kwa wivu wa Mapenzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…