Wikiendi ndiyo hiyo inaanza.Kwa wale tunaopenda kwenda beach au kupiga misele maeneo sio vibaya kusafisha macho kwanza kabla hatujatoka.Mimi naomba maksi zenu tu,kwa mwanaume ungependa ukutane au utoke na nani kati ya hawa!!!!Weekend njema
nashkuru sana mheshimiwa PHD. Kweli wewe akili zako zinaonyesha una PHD ya ukwweli kama docta slaa.... Nikiwaambia vijana wadogo wanaoweka hizi picha za utupu humu jf wanakosea hawasikii... Narudia tena, acheni upumbavu na uzandiki wa kuweka picha za uchi humu jf. Sio ze utamu hii jamani, its a forum 4 all pipo. Wengine wanasoma izi forum wakiwa na watoto wao, sasa wkikuta picha kama izi inakuaje??
Wikiendi ndiyo hiyo inaanza.Kwa wale tunaopenda kwenda beach au kupiga misele maeneo sio vibaya kusafisha macho kwanza kabla hatujatoka.Mimi naomba maksi zenu tu,kwa mwanaume ungependa ukutane au utoke na nani kati ya hawa!!!!Weekend njema
Tusiwalaumu wachina, wamegundua weakness za wakaka/wababa wa kiafrika................ hatushangai huko kwao wadada wao hawawapi hizo dawa wanazotuletea?