Kingwangwalah anashangaza sana hakukuwa na sababu yeyote ya taarifa kama ndio wamekubaliana kutoa taarifa taarifa basi wabunge wa CCM wanajiabisha hata Simbachawene kamkatisha manake alitaka kuchukua muda wa Silinde bila sababu
Wabunge chadema kiboko yao, kigagwala wa nzega hoi taarifa yake bomu kaambiwa apeleke mbolea ya ruzuku nzega...magamba wote kimya ..silinde kawaambia kama wamepoa maana yake yamewaangia
kuna libunge la magamba linasifia bajeti sasahivi eti sitting allowance si posho za kukaa ni posho za vikao tehe anaitwa sijui naniiii ah taka taka tupu!
kuna libunge la magamba linasifia bajeti sasahivi eti sitting allowance si posho za kukaa ni posho za vikao tehe anaitwa sijui naniiii ah taka taka tupu!