Safarini muda huu

Ubarikiwe mkuu,ni muhimu sn kuuzingatia ujumbe,kwani "Aliyejua kuwa kuna dhambi halafu hakuwaambia wenzake atahukumiwa"

Mimi na family yangu tumeshafanya maamuzi mkuu kabla hata ya kampeni kuanza

Hapana_KATIBA ya chenge
Delete ccm kuanzia,DIWANI,MBUNGE,RAIS


Maswali?
 
Mimi na family yangu tumeshafanya maamuzi mkuu kabla hata ya kampeni kuanza

Hapana_KATIBA ya chenge
Delete ccm kuanzia,DIWANI,MBUNGE,RAIS


Maswali?

Asante sana,najua unawaambia na wenzako na wengine wenye kushupaza shingo.Good go on mkuu,tujidhatiti sn si kazi rahisi.
 
Nimetoka babati nikaenda karatu nimerudi arusha, japo kuna mgomo njiani hakuna mabasi na Noah hakuna, ila kuko salama kabisa, hakuna fujo mkuu, safe journey
 
Nimetoka babati nikaenda karatu nimerudi arusha, japo kuna mgomo njiani hakuna mabasi na Noah hakuna, ila kuko salama kabisa, hakuna fujo mkuu, safe journey

Me ndo nafika mkuu muda huu mkuu.Asante kwa taarifa.

Hee jamani nimemwona dada yake MASAI DADA!!!! Wamefanana haoo!
 
Ufike salama
 

Usisahau kunitembelea niko Arusha kwa leo
 

Ningekuwa mimi ningewatangazia abiria kuwa mimi ni bread winner wa familia yangu, halafu ningeshuka kwenye kituo na kwenda kuripoti kituo cha polisi, na baadae kuangalia utaratibu mwingine wa kuendelea na safari yangu.
 
Mwanamayu acha tu yani,nimefika tena saa kumi ni balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…