God bell
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 590
- 211
Wapendwa habari za leo. Naombeni kujua nauli ya kutika Arusha hadi Uganda Kampala.
Nataka nisafiri kwa bus nina shughuli binafsi naenda kufanya kule.
Naomba pia nipate ufafanuzi wa sehemu ya kulala yaani Lodge ambaho sio ghali sana. Iwe tu ya gharama za kawaida kulala
Nataka nisafiri kwa bus nina shughuli binafsi naenda kufanya kule.
Naomba pia nipate ufafanuzi wa sehemu ya kulala yaani Lodge ambaho sio ghali sana. Iwe tu ya gharama za kawaida kulala