Safari yangu ya Rwanda

Yeah kaka..hakuna askari kumsumbua mtu...na huwezi kukuta wanazozana...
Angalia boda boda zao jamaa walivyo kuwa wanajari usalama wa abiria....
angalia mabasi yao hakuna kusimama....

Mkuu tena pitia pale Ferwafa..ukaone zile ofc zilivyo...kisha tazama za kwetu TFF..
Nitakufahamisha mengi...we ucjari leo mpira wa man city na liverpool..katazame pale Alpha Palace VIP....utajifunza mengi sana kuhusu Rwanda..karibu mkuu
 
Bila shaka utakuwa umeshaiona tofauti, wananchi wa Rwanda wanatafuta maendeleo wao wenyewe while watanzania wanasubiri serikali iwaletee


Ni kweli mkuu kila mtu ana msukumo (resilience) wa kutaka kubadilisha maisha. Kiwango cha utapeli (misheni town) ni kidogo sana.
 

Boda boda dereva na abiria lazima wavae kofia.
 
walitokea Huku:


Yirukanywe mu nzu ye ,irasenywa , ngo ni uko ari nyakatsi , atuzwa muri iyi "Burende" ! Ngaya amajyambere FPR yatuzaniye !

sasa wapo huku:


 
walitokea Huku:


Yirukanywe mu nzu ye ,irasenywa , ngo ni uko ari nyakatsi , atuzwa muri iyi "Burende" ! Ngaya amajyambere FPR yatuzaniye !

sasa wapo huku:



Asante kwa jinsi ambavyo umeelezea kwa kutumia picha jinsi ambavyo nchi ya Rwanda umeweza kubadilika.
 
Boda boda dereva na abiria lazima wavae kofia.​
  • Yeah...kaka...hata Trafick wanajua kazi zao sio huku unasimamishwa unaulizwa kumbe mwisho wa siku anataka rushwa....

    Angalizo ukibeba mtoto wa kinyarwanda hakikisha unapiga sana mzigo ...ili yale M*** amwage sana..

    na usishangae kukuta wafungwa wa mauji ya kimbari wako na uniform na wanarudi home baada ya kazi...amabo wamehukumiwa na Mahakama za GACACA
 
Ngoja na mimi nipange safari nikajionee kwa macho yangu..
 
Ngoja na mimi nipange safari nikajionee kwa macho yangu..

Karibu bana...ujionee mwenyewe..."nchi ya mabonde na milima" uone inyage na sokwe
 
Tanzania iko maneno meeengi,kila kitu naingisa siasa ndani yake halafu ile neno utiifu wa sheria na utoaji wa adhab amemeswa na ile gonjwa kubwa naitwa KITU KIDOGO
 
Tanzania iko maneno meeengi,kila kitu naingisa siasa ndani yake halafu ile neno utiifu wa sheria na utoaji wa adhab amemeswa na ile gonjwa kubwa naitwa KITU KIDOGO

Mkuu, haya ndiyo matatizo ambayo yameharibu nchi hii. Ni muhimu yashughurikiwa na sisi sote.
 

Umeongea vyema tu, ila hapo kwenye BOLD napenda kukukumbusha kuwa Tanzania haitakuja kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa namna yoyote ile. Waambie na wenzio pia maana hili ndilo mnalotumia kuwatisha wapenda mabadiliko. Tanzania haitakuja kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe hatuna utamaduni huo toka enzi za mababu, KEEP ON MIND BRO!
 
Bila shaka utakuwa umeshaiona tofauti, wananchi wa Rwanda wanatafuta maendeleo wao wenyewe while watanzania wanasubiri serikali iwaletee

Hebu usitukere wewe, watu tunapiga mzigo ile mbaya, tunalala masaa matatu tu kwa siku kujinyima halafu we unaongea upuuzi. Serikali imeweka mazingira bora ya wewe kujiletea maendeleo? Imekuwezesha kwa namna gani hali ya kuwa uchumi unazidi kuporomoka? Mafuta, Shilingi, mfumuko wa bei? We unaongea nini?
 
usisahau pia Kagame hana utani, huweka sahihi zake si kwa kutumia kalamu tu hata bunduki. (no nonse in Rwanda kama TZ)
 

Binafsi siamini katika kupigana wenyewe kwa wenyewe kutokana na kudorora kwa maendeleo ya nchi pamoja na kuwa na rasilimali nyingi (watu, ardhi, maji baridi/bahari, madini, gesi, uranium). Lakini, ni lazima tubadilishe mambo kwani fujo nyingine zinaweza kuchochewa na wataka rasilimali zetu kwa kutumia mtindo wa "Tawanya utawale- Divide and Rule". Omutwale naona kama ana sababu ya kusema hayo aliyosema.
 
usisahau pia Kagame hana utani, huweka sahihi zake si kwa kutumia kalamu tu hata bunduki. (no nonse in Rwanda kama TZ)

Wakati nikiwa huko kuna mkutano mmoja "Dialogue" ambapo wajumbe mbalimbali walihudhuria akiwa Kagame mwenyewe baadhi ya maadhimio ya mkutano huo yalikuwa ni kuanza kwa utaratibu wa performance contract kwa Mabalozi wa Rwanda wanaoiwakilisha Rwanda nchi za ng'ambo na Mawaziri. Mabalozi na Mawaziri lazima wasaini malengo mbalimbali kila mwaka ambapo mwisho wa Mwaka watapimwa kwa kiwango gani wameweza kutekeleza malengo hayo. Utaratibu upo kuanzia viongozi wa ngazi za chini.
 

Kaka hebu punguzeni WOGA na KUDHANI! Nchi yetu inahitaji mabadiliko tena makubwa sana, tunahitaji kubadili utawala uliopo tuweke hata chizi atutawale....
 
Mkuu hata Tanzania kuanzia pale zero zero njia panda ya ngara kupita benaco hadi rusumo hamna nyumba ya nyasi. sema umeme ndo tabu. halafu kuhusu bereau de change hakuna kwa sababu watu wanaogopa coz usiku watu wanavuka na mitutu ya nguvu kuja kuchukua chao. lakini unapata hela kuanzia mil 5 kushuka chini. pale Rusumo unapata kila kitu. disco huwa tunaenda kucheza pale Rwanda. kuna club inaitwa amarembo. alfajili saa 10 unavuka kurudi tz na mtoto wa nguvu unaenda kuchoma pale kwa burigita guest house. Mia
 

WA NDIMA, Keep on your MIND: Huwezi kupingana na mabadiliko yanapotokea. Ni kweli hatujawa na utamaduni wa kupigana lakini mabadiliko yanaweza kutokea na huwezi kupingana nayo. Je ulitegemea kwamba mmasai mwamamume (MORANI) angeweza kukaa na kumsuka mwanamke nywele?, jambo hili huko nyuma kwa MORANI ilikuwa ni aibu lakini sasa mabadiliko ya hali ya hewa na vigezo vinginezo vimechangia kuharibu utamaduni wao wa ufugaji na kukosa kipato.

Hata nami nisingependa tupigane wenyewe kwa wenyewe, lakini OMUTWALE amezungumzia viashira vinavyoweza kutufikisha hapo na wajibu wetu ni kushughulika na hivi viashiria ili tusifike huko.
 
Ngoja na mimi nipange safari nikajionee kwa macho yangu..

Mkuu kuna siku tulitoka pale Rusumo mimi na kmkm fulani rafiki yangu tukamfuata demu nyakalambi. ile tunavuka gari yetu ikakamatwa sisi tukaongea na afande tukamuachia kidogo akatuachia. Kumbe jamaa kapiga simu mbele tunakoenda kwamba tumempa rushwa. beria ya tatu tukakamatwa na kuwekwa selo bila kuongea na mtu kama dakika 3 yule tulompa hongo akatinga na hela tulompa. palichimbika. Mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…