Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,579
- 1,080
Kawaida sana jibabakumbe ndo zako eeh kijana
Kawaida sana jibabakumbe ndo zako eeh kijana
Unatumia Bange la wapi? huwa unamix na Sigara kali/nyota au majani ya mpapai?Nyama na damu yake usile
Ya kukoroga kwenye kibuyu na kunywa kama mtoriUnatumia Bange la wapi? huwa unamix na Sigara kali/nyota au majani ya mpapai?
Kwakweli ma great thinker wa humu jf ni michosho kabisa
jamani natamani kuelewa lakini sielewi naomba mnisaidie ili nielewe... kwani mnazungumzia nini?
ha ha haaa miss chagga kumbe na wewe ni low thinker
kwa hili sijaelewa kabisa ngoja leo niende feri nikaone mwenyewe
nikitoka huku inabidi nitembelee hayo maeneo
haina haja ya kwnda ferry we andaa siku 2 uitishe match ndo utaelewa vizuri
Fanya hima utumie mkuu........ni balaa. unapiga hata tano na zote zinatoka cream.
naombeni kueleweshwa hapa sielewi chochote na nahisi kuna fumboWeekend nilivuka ( Chepuka) kwenda Vijibweni kama kaka Kaizer alivyonishauri. pale getini fery kama ukiwa unaenda kwenye kile kimgawa kwa nyuma ndiko niliko vikuta hivyo vitu.........Nilivutiwa kwa sababu kila kijana aliyekua anapita nilimuona anainama anarusha coin alafu anaokota na kuendelea na safari......nikasema kwa nini nisijaribu na mimi.......Heh. ni balaa. Kaizer wanakusalimia sana wanasema siku hizi umepotea......nilipata fursa ya kwenda mpaka kwenye daraja kwa kweli panavutia.
hii ukila iliyochemshwa ndo inakua safi sana......umekula?
View attachment 160630
Ngoja nikuulize benteke,
hicho ulichokitaja kinasaidia;
1. Kuongeza muda wa kugegedana bila kumwaga?
2. Wingi wa shahawa?
3. Uzito?
4. Nguvu za shahawa kurutubisha yai?
5. Uwezo wa kumwaga mara nyingi?
#tafadhali ...
Mkuu nipe direction maana sijaelewa kidogo location .....nataka kutanga ubingwa mahali