SINA JINA1
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 391
- 152
Habari zenu wanajumuia !
Natarajia kwenda Songea hivi karibuni kutokea Dar naomba taarifa za nauli na basi zuri la kupanda .
Pia naomba taarifa za lodge nzuri gharama iwe kati ya 30,000/= na 40,000/=
Natarajia kwenda Songea hivi karibuni kutokea Dar naomba taarifa za nauli na basi zuri la kupanda .
Pia naomba taarifa za lodge nzuri gharama iwe kati ya 30,000/= na 40,000/=