T Thebony Member Aug 16, 2012 92 2 Sep 13, 2012 #1 Jesho nakwenda kwa ghazabu huko tcu ikiwezekana waniambie kama napata chuo au laah! nimechoka maumivu ya moyo
Jesho nakwenda kwa ghazabu huko tcu ikiwezekana waniambie kama napata chuo au laah! nimechoka maumivu ya moyo
Mpigamsuli JF-Expert Member May 24, 2012 3,885 575 Sep 14, 2012 #2 Vizuri manake bila kuonana nao uso kwa uso hawatashughulikia suala lajo ndugu
B Best Mzava Senior Member Jul 20, 2012 135 10 Sep 14, 2012 #3 Mkuu utakuwa umefanya la maana,kama vp ukifanikiwa utupeupdates wanasemaje coz huku kijijini nifull mapressure
Mkuu utakuwa umefanya la maana,kama vp ukifanikiwa utupeupdates wanasemaje coz huku kijijini nifull mapressure