Umeshachezea de liboloKatika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo [emoji16]. Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha
Katika miez mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafir KUFATA MHOGO Arusha kutoka tunduma
Wanaume kuweni na aibu ata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za Ivo sana katika katiba mpya hili swalatutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo
Nimefka Arusha salama lakin nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls[emoji120] haitoshi mama mwenyenyumba hakai hapo ila ndo anagombaniana na vidada MHOGO yaaan akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?
Lait ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndo wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini
Nawapa taadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbaliii mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Mi natafuta ufalme wa mbinguni njoo ule mema ya nchi achana na vinuka boksa watakufanya ujione una nuksiNi baadhi tu wamejitwika ufilauni na usodoma ndani Yao kwa hatua niliofikia ntajipatia Mzee mmoja maridad kabisa niwe nimemaliza mahangaiko ya Dunia ibaki kuangaikia ufalme wa mbingun
Kumbe mimi na miaka yangu 54 naweza kuja DM 😜😜Nimecheka hata kabla sijamaliza kusoma story,, nimeishia hapo kutoka tunduma kufata muhogo😂😂😂haya tuendelee
Yani hapo ukapata uchovu mara mbili si ajabu hata kaorgasm kadogo hukupata, pole Sana
Ndo maana mie napenda wababa, wastaafu😂😂 wanajielewaga, 34 yrs kwa wanaume wengi bado hawajakomaa ktk kusimamia matamanio yao ya kingono
Ulizifuata mikoa gani ToyeyeMi nimesafiri mara mbili for game,ya kwanza ilikuwa sweet ya pili ilivunja everything
Hahaha una sound balaa🤣🤣🤣🤣Mi natafuta ufalme wa mbinguni njoo ule mema ya nchi achana na vinuka boksa watakufanya ujione una nuksi
Kuna mzee mmoja muungwana sana na anajua kutunza sana...sema nikuunge nayeNi baadhi tu wamejitwika ufilauni na usodoma ndani Yao kwa hatua niliofikia ntajipatia Mzee mmoja maridad kabisa niwe nimemaliza mahangaiko ya Dunia ibaki kuangaikia ufalme wa mbingun
Nimeifunga ninae mstaafu wangu naenjoi mno,,, hebu tumsaidie ndg mleta madaKumbe mimi na miaka yangu 54 naweza kuja DM 😜😜
Ndo ukweli huo,, Yani siku hizi nafanya kukwepa kuudhika na watu wa pembeni ili tu nisikose ufalme wa mbingu😂😂 aaah mapenzi na watu wazima ni raha sana,,Hahaha una sound balaa🤣🤣🤣🤣
Kweli imeandikwa " utapewa wa kufanana"Npo kwa gar narud zangu kwangu hamu na mwanaume Sina nimeshavuliwa nguo vyakutosha
Ndo nimemkaribisha kwenye ulimwengu wa wastaafu ale mema ya nchi huku kazi ni moya ya kuitafuta mbingu,Sasa huyu si ke mwenzio au🤣🤣
Akitoka tanga apitie dar nimpe pole siku mbilipole sana dada sasa bado upo Arusha upitie Tanga au 😋
Huu ndo muda mwafaka wa kuichakata mbususu kimasihara!Punguza hasira mdada..., ulimwengu ndo upo hivi siku hizi...