Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Mambo yanaenda vizuri babu,babu mwenzako asprin hajambo mzima kabisa ila bado hajaacha mchezo wake wa kujilimbikizia wajukuu.
TF bado hujatoka hiyo Guest uliyokuwa jana Posted Via Mobile???
Mambo yanaenda vizuri babu,babu mwenzako asprin hajambo mzima kabisa ila bado hajaacha mchezo wake wa kujilimbikizia wajukuu.
Mambo yanaenda vizuri babu,babu mwenzako asprin hajambo mzima kabisa ila bado hajaacha mchezo wake wa kujilimbikizia wajukuu.
Karibu tena babu DC, tulikumiss sana hasa yule babu mwingine alipozidisha micharuko,,lol
Husninyo mimi mzima ila umenitupa sawa tu.
Karibu tena babu DC, tulikumiss sana hasa yule babu mwingine alipozidisha micharuko,,lol
Babu kuna haja ya kuunda kamati vinginevyo anaweza kuwa RA upande wa wajukuu halafu sisi tukakosa hata kupata mke.Hilo tutalifanyia kaza kwa kasi mpya...nguvu mpya na....mpya! Serikali yooote itabidi iwekeze nguvu zake hapo...Naona linakaribia kuwa janga zaidi ya mgawo wa umeme wa Tanesco-Dowans-RA syndicate!
Mimi niko mlimani bana naongoza salaTF bado hujatoka hiyo Guest uliyokuwa jana Posted Via Mobile???
Mimi niko mlimani bana naongoza sala
Mhhh!! Husninyo umeanza visingizio.sijakutupa babu. Sijui bibi anakubana bana kuja jf.
Nilitoa taarifa labda zilichelewa kufika usijali Babu.
Aha aha ha natubu kwa makosa ambayo nitafanya wikiendi hiiUnalipiza za mwaka jana nini? Maana kwaresima bado mpaka tarehe 9/3 Jumatano ya Majivu ha ha ha sala njema nami niombee
Miss Judith mzima weweBabu nakuona ndani, hapo napata mzuka
Tulidhani uko ndani, kumbe angani waruka
Karibu tupe kampani, mana tulikukumbuka,
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Wajukuu tulizongwa, nayo mengi majukumu,
Si kwamba tulihongwa, babu tusikusalimu,
Na wala hatukugongwa, gongo la mboto mabomu
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Tulikuwa na darasa, la kutongoza kisasa,
Tulipata na mikasa, ya maisha na siasa,
Vingi vilijiri visa, vicheko hatukukosa,
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Hongera zake mwenzio, subira amejaliwa,
Japo hakuna uzio, ye hakuchakachuliwa,
Angekuwa wa mwambao, sasa ungeshachachawa
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
We kweli sio mkulima, wenzako tunapalilia mahindi wewe ndio unanunua mbegu, zihifadhi hizo mbegu ni kwa ajili ya msimu ujaoBabu habari za asubuhi mpwa wako sijambo mzima kabisa niko kwenye mihangahiko ya kununua mbegu za mahindi kwa ajili ya msimu huu
Mwanao atakufa njaa......huu sio msimu wa kununua mbegu, huyo mtoto wa mjini......lol!!!Ndo maana nakupenda mkwe wangu ...yaani hapa mwanangu halali njaa hata siku moja kijana unasoma sana nyakati
Mimi niko mlimani bana naongoza sala
hata mi sikupata taarifa bana!! lolz
Aha aha ha natubu kwa makosa ambayo nitafanya wikiendi hii
Ahaa ahaa katavi unaharibu mingo zangu.We kweli sio mkulima, wenzako tunapalilia mahindi wewe ndio unanunua mbegu, zihifadhi hizo mbegu ni kwa ajili ya msimu ujao
Mwanao atakufa njaa......huu sio msimu wa kununua mbegu, huyo mtoto wa mjini......lol!!!
Katavi nataka nikupeleke formation kwanzaWewe ni katekista...........naomba niombee huenda una upako!!