The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Tusamehe makosa yetu kama unavyosamehe na wengine waliokukosea usitutie katika vishawishi lakini........Unatubu kabla hujatenda wewe kweli kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusamehe makosa yetu kama unavyosamehe na wengine waliokukosea usitutie katika vishawishi lakini........Unatubu kabla hujatenda wewe kweli kiboko
Ahahahahaaaaaah!!! Mkuu kumbe umetega mingo hapo.....Ahaa ahaa katavi unaharibu mingo zangu.
Tusamehe makosa yetu kama unavyosamehe na wengine waliokukosea usitutie katika vishawishi lakini........
Ahahahahaaaaaah!!! Mkuu kumbe umetega mingo hapo.....
PM zako zilikuwa haziji
Babu nakuona ndani, hapo napata mzuka
Tulidhani uko ndani, kumbe angani waruka
Karibu tupe kampani, mana tulikukumbuka,
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Wajukuu tulizongwa, nayo mengi majukumu,
Si kwamba tulihongwa, babu tusikusalimu,
Na wala hatukugongwa, gongo la mboto mabomu
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Tulikuwa na darasa, la kutongoza kisasa,
Tulipata na mikasa, ya maisha na siasa,
Vingi vilijiri visa, vicheko hatukukosa,
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Hongera zake mwenzio, subira amejaliwa,
Japo hakuna uzio, ye hakuchakachuliwa,
Angekuwa wa mwambao, sasa ungeshachachawa
Kweli safari si kifo, karibu tena nyumbani
Huyu bila ajizi kanitaja hadharani!Mambo yanaenda vizuri babu,babu mwenzako asprin hajambo mzima kabisa ila bado hajaacha mchezo wake wa kujilimbikizia wajukuu.
Huyu anajua anamaanisha babu gani. Me is watching tu!Karibu tena babu DC, tulikumiss sana hasa yule babu mwingine alipozidisha micharuko,,lol
Huyu ndio mtetezi halisi wa babu kikongwe! Anaandaliwa zawadi yake huyu!Ngoja aamke ndo utamtambua shauri yako
Huyu akaamua kukufuru kabisa!Babu kuna haja ya kuunda kamati vinginevyo anaweza kuwa RA upande wa wajukuu halafu sisi tukakosa hata kupata mke.
Na huyu babu wa makamo aliyekuwa kapotea njia akaingia kingi! Dah! Karibu tena hemani!Hili sasa naona linakuwa janga...Kamati ya wazee italifanyia kazi...Kijijini kwetu lazima kila kitu kiende kwa kanuni za Bunge na Spika wetu yuko makini....
Point taken!
ngoja nisafishe inbox.. nadhani ilikua imejaa
Huyu ndio mtetezi halisi wa babu kikongwe! Anaandaliwa zawadi yake huyu!
Huwa nakwambia siku zote mie ndo mtetezi wako unaona sasa walivyokuwa wanakusema wakati haupo
Ahsante sana Judith,
Nimefurahi sana kupata mistari yako....Ndo maana nili-miss sana hili jukwaa!
Ubarikiwe sana tena sana....Ikiwezekana sala za Babu zisikilizwe na Mnyazi Mungu (Allah) akudondoshee mapanya kabla mwaka huu haujayoyoma!!
Babu DC.
haha mbavu sina mie, kinywani tele kicheko,
baraka sasa zinijie, kwa wake babu upako,
wenye wivu na wajipalie, makaa wawe ukoko,
zikujae nyingi heri, uwe wa afya buheri,
mema umeniombea, yanifikie mapanya,
ni lugha ya kulongea, yaweza moyo kuponya,
kondeni nitajongea, Baraka kuzikusanya
zikujae nyingi heri, uwe wa afya buheri,
Khee kheee unaingizwa mkenge kama machingaHuyu ndio mtetezi halisi wa babu kikongwe! Anaandaliwa zawadi yake huyu!
Huwa nakwambia siku zote mie ndo mtetezi wako unaona sasa walivyokuwa wanakusema wakati haupo
Khee Kheee babu bepari anarudi guestHuyu bila ajizi kanitaja hadharani!
Huyu anajua anamaanisha babu gani. Me is watching tu!
Huyu ndio mtetezi halisi wa babu kikongwe! Anaandaliwa zawadi yake huyu!
Huyu akaamua kukufuru kabisa!
Na huyu babu wa makamo aliyekuwa kapotea njia akaingia kingi! Dah! Karibu tena hemani!
Anyway, babu kikongwe anarudi kitandani!
mi mzima kabisa, nawachungulia tu hapo na mimgo zenu. stay blessed!Miss Judith mzima wewe
Shauri zako endelea kushangaa huku mimi nikiwa nasubiri kwenda VATICAN kuonana na papaMajaribuni..... dogo kumbe sala zinapanda ulipata kipaimara lini?
Yaani we njoo streiti Kingista ruum 106....kwenye godoro la comfy:rain:
Babu kaza buti................ huyo mjukuu amechanganyikiwa na kupotelewa na BE, na jana alisema kuwa TF ni serengeti boy hamtaki, nahisi kwa vikongwe ataridhia
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh FP, hapa kunani? Kumbe hii kitu inahitaji madalali pia?
Ngoja nikamtumtafute LD anipatie kikombe cha chai mie!
Ohhhhhhhhhhhhhhh Judith...kumbe kweli babu kazeeka!! Atakuombeaje mapanya? Ni mapacha bwana, tena triplets au zaidi!!