Saed Kubenea: Sirro atengwe, asulubiwe

Saed Kubenea: Sirro atengwe, asulubiwe

Kubenea yupo right kabisa. Kama mtakumbuka kisa cha Ramadhani Mapuri aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani. Alishikiwa bango na media mpaka mkuu alipomwamishia nje ya nchi. Naye alitumia askari magereza kupiga waandishi kwa madai eti waliingia sehemu kulikokuwa na shughuli za jeshi la polisi wakati kulikuwa na wafungwa.

Ni ulevi tu wa madaraka.
 
Kubenea sijui huwa anatumia kiungo gani kufikiri.
Mwambieni wakati umebadilika au akawaulize clouds(mawingu)
kwani kubenea kasema kipi cha ajabu? Wakati ukibadilika ndipo haki za binadamu zikikiukwa kubenea akae kiimya ?
 
Nguvu ya mnyonge ni umoja

Kubenea yupo sahihi kabisa, waandishi hawana bunduki.
Bahati mbaya sana hawana vyote: bunduki wala umoja. Wangekuwa na kimojawapo kingeeleweka tu. Hawa jamaa waandishi kama wangekuwa mbwa, sasa hivi mkia ungekuwa unagusa kidevu kupitia katikati ya miguu hadi tumboni.
 
Nchi ya watu waoga hii. Waandishi wahabari wanapaswa kuishinda dhambi ya woga na kusisia habari zote sinazomhusu mkuu huyo wa polisi. Waache vyombo vya chama viendelee naye!
 
Kubenea sijui huwa anatumia kiungo gani kufikiri.
Mwambieni wakati umebadilika au akawaulize clouds(mawingu)
Hili LA kutoa au kuandika habari za hao jamaa ni fimbo tosha, hasa ukizingatia kuwa kiki zao wanazipata kupitia vyombo vya habari ? Unadhani watatangazia wapi zao wapi kuwa safiri wameiingizia serikali mapato kiasi Fulani kwa kuwanyang'anya wananchi kwenye vyombo vya usafi ? Hawa wapewe kifunga cha mwaka mmoja kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom