Israel Mwalukasa
Member
- Jul 12, 2015
- 15
- 0
Kubenea ndio kwanza ameanza kazi , mtakoma msimu huu .
Wewe una elimu gani wewe?
ni kweli ameanza kazi ya kukumbatia mafisadi, tunajua sana. si mchumia tumbo.?? na tunasema haya yote yatakuja mgeuka. swiss me
Makonda tokea lini akampenda kubenea? Makonda kaamua kumchafua kubenea akidhani Watanzania ni wajinga hawatamjua haraka , lakini sasa kila mtu kujua kuwa aliyeandika hii story ya porojo ni Makonda mwenyewe.
haka kamjamaa hakafai eti kalimwagiwa tindikali usoni mbona hata dalili hakuna ila kweli hiki kimjamaa nilisha kuwa na mashaka nacho tuvijana twingi ndg mleta maada nitwajuzi hatuwezi kkuelewa twingine hata tulikuwa chekechea hatukuwahi kusoma vigazeti vya kubenea kipindi anamponda lowassa na rostam tungepata wapi vipesa vya kununulia hata vigazeti vingi vulikuwa ni kula kulala kwa baba zao
Hii ndefu mpaka inakera na usitegemee kuandika porojo ndefu Kama Hizi watu watasoma yote , mie nakujibu hapo kwenye Kingereza tu kwani Kingereza ndicho kigezo cha kuwa na kipawa cha Uongozi ? Kule London kuna wazungu hawajaenda shule lakini wanazungumza Kingereza , Wachina, wafaransa , German nk hawajui Kingereza na maisha yameendelea na hata Rais wa China alikuja Tanzania hakuongea Kingereza , Wabunge wasomi akina Mama Tibaijuka , chenge na waliopita huko nyuma akina Profesa mbilinyi , Kapuya nk walisaidia nini Taifa ? Kingereza Tanzania hutumika sana kwenye Ufisadi hata pesa zote zilizoibiwa Nchini ni Kingereza kilitumika , sasa wale wabunge wanaojua Kingereza Mbona hawakuzuia huo wizi ?
Njaa inawasumbua sana nyie manyumbu,mtake msitake KUBENEA ndiye mbunge wa ubungo na makonda atafanya kazi chini ya KUBENEA tuone hiyo foreni ataipanga wapi na ieleweke Kubenea hawezi kuhama hilo jimbo atahama hyo makonda wenu
Makonda sasa kakonda sana hata xmas anakula Kwa shida leo alitegemea hii porojo yake ingewashika wengi lakini imekuwa kinyume na watu wamezidi kumdharau na huenda Magufuli akamtupa wilaya ya ngara akapambane na waasi toka Rwanda na Burundi maana Akili zake sasa zimefikia kikomo kwenye mambo ya busara zimebakia kwenye vurugu pekee.
Yaelekea mwandishi wa makala hii au ana bifu na kubenea au ni wakala wa vyombo wale waliojaribu kumwua yeye na waandishi wenzie. Huyu ni mfitini, mwongo aliyebobea na anacheza na akili zetu bila kujua baadhi tuna ufahamu mpana mara mia zaidi yake. Nampa pole na kumwambia amepoteza muda wake bure.
unasemaje? ??? please come again! !Kumjadili Kubenea ni kupoteza muda. Ni miongoni mwa watu wajinga kupindukia. Hili si jina lake. Mtafuteni mwenye jina hilo aliyegombea udiwani huko kimanzichana.