- Thread starter
- #21
Hivi wapangaji hawasthili kupewa hivyo viwanja ambavyo serikali iliahidi kuwapatia waliopatwa na mafuriko? Binafsi nadhani nao wangepewa kipao mbele katika suala la kupatiwa viwanja ili wawe na makazi yao ya kudumu na sio kupanga.
mwaJ.
Na hapa hasa ndipo swali linapoingia. 50 years on baada ya UHURU Serekali iko wapi/inamipango gani juu ya NYUMBA kwa Wananchi wake??