Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,444
- 3,419
- Thread starter
- #41
Nmekuelewa.. maana yangu ni kwamba " tunaishi maisha ya kuku" chakata mbususu ya mama kukikucha tutafute shibe maisha yaendelee mkuu
Nmekuelewa.. maana yangu ni kwamba " tunaishi maisha ya kuku" chakata mbususu ya mama kukikucha tutafute shibe maisha yaendelee mkuu
Nashkuru itifaki imezingatiwa ..
Nakuelewa kwa utata enzi zako kiskongaNashkuru itifaki imezingatiwa ..
Nlishaandaa jigumi la kukurushia
Umeshanichungulia kule?😂😂😂
Umeshanichungulia kule?
Mwanamke ni mwanamke tu mkuu.
Kumbee...Mwanamke ni mwanamke tu mkuu.
Au huoni kuwa kundi kubwa la wamama wanaojimwambafy mitandaoni kuwa hakuna mwanaume atakayemsumbua ndo wanaoongoza kunyenyekea wenzi wao?
Wengi wao hawapendi kuonekana wazembe kuwa wapo kwenye mahusiano yasiyo na furaha.. na huwa wananyanyaswa sana tofauti na namna wanavyoonekana na kutoa comments mbalimbali kwenye social media
Sawa Mama PrettyWengi wao hawapendi kuonekana wazembe kuwa wapo kwenye mahusiano yasiyo na furaha.. na huwa wananyanyaswa sana tofauti na namna wanavyoonekana na kutoa comments mbalimbali kwenye social media
Atazikuta asubuhi akiwa anakimbizana na vifaranga wenzie😁
Si ndo huyo ktk avatar lkn?Atazikuta asubuhi akiwa anakimbizana na vifaranga wenzie
Wanafanana!!
Hiv huyo Bab Pretty anakuruhus kuchat mpak ssahivWanafanana!!
😂😂😂😂 we nawe! Bado bado kidogo!Hiv huyo Bab Pretty anakuruhus kuchat mpak ssahiv
Wakat ndo mda wenyew huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini nyumba ipo haijatumbuliwa😅Nakumbuka miaka ya nyuma jamaa flani jirani alikuwa na kadegree flani hivi akapata ajira inayomlipa vizuri na kujenga ghetto fresh. Ila alikuwa anadharau tukimtembelea anatuzuia getini na kutuambia mko kama jamii ya kuku na ndege hamtulii kazi kutagataga tu na kama mnataga lazima mje kutaga hapa?Midume mizima mnataga hamna aibu? Yani kila tawi mnatua tu mko duniani kukera wengine.
Yani sitasahau na huu msemo nilimuiga nautumiaga hata humu kuwawini kisaikolojia MATAGA.
Lakini jamaa ni miongoni mwa watu waliotumbuliwa na Jiwe kwa kuwa na vyeti feki.
we nawe! Bado bado kidogo!
I reserve my comment until further noticeKuku akiamka tu anawaza kula tu akishiba kidogo ataanza kutafuta mbususu ataichapa then ataendelea kutafuta chakula hivyohivyo cycle inaendelea mpaka ikifika jioni anaenda zake kulala akiamka hivyohivyo hadi cku atakapochinjwa
Sad truth: binadamu (wabongo) tuliojaaliwa akili na utashi na ambao tunajua lengo la maisha siku hiz tunaishi kama kuku tu, tukishiba tu tunawaza mbususu ndomana easy tu kusikia jana "nimekula tunda kimasihara" so sad
Easy tu kusikia jana kafumaniwa na mke wa rafiki yake so sad
Hata maendeleo yetu yanakuja acidentally due to zero focus
Jamani kichwa cha juu sio kazi yake kula matonge tu, then kukiachia majukumu yaliobaki kichwa cha chini
Na nyiny wakina dada musijilinganishe na bidhaa bana
Ngoja nikapate kimoja kwanza kwa wife then nitarud
View attachment 1961360
Sent using Jamii Forums mobile app