sabuni za kuogea

Dadio

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
359
Reaction score
42
Habari wadau?kuna sabun ya kuogea inaitwa active naweza kuipata wap au mtu mwenye namba za wasambazaji wake an pm tafafadhali.
 
mara nyingi wanafanya door to door promotion maeneo ya kitumbini, mnazi mmoja na kariakoo na ofisi zao ziko maeneo ya tabata bima kuhusu mawasiliano nimepoteza namba zao za simu.
 
Asante mkuu... Kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao tafadhali anipatie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…