SABASABA OFA: Nunua kiwanja, Pata Pikipiki Bure

SABASABA OFA: Nunua kiwanja, Pata Pikipiki Bure

Joined
Apr 29, 2022
Posts
6
Reaction score
6
SABASABA OFA
Pikipiki bure...!
PJA PROPERTY DEALERS tunafahamu kwamba unahitaji kiwanja na sasa Sabasaba hii hatukupi kiwanja peke ake bali tunakupa na kiwanja iliyosheheni ofa kibao
✓Nunua kiwanja BAGAMOYO chenye ukubwa wa SQM 2000, ujipatie Pikipiki mpya bure, pia kuna punguzo la 10% na Hati bure .
✓Nunua kiwanja KIGAMBONI na MLANDIZI tukupe punguzo la 10% na Hati Bure.

Ofa hii ni kwa ajili ya Sabasaba pekee wahi viwanja vimebaki vichache

Fahamu zaidi kuhusu ofa zetu kwa kufika Sabasaba Banda la Manyara no 3.

au piga 0765 311 611
Ofisi zetu zinapatikana Dabe House 3rd Floor, Mwananyamala Sokoni Road.
 
SABASABA OFA
Pikipiki bure...!
PJA PROPERTY DEALERS tunafahamu kwamba unahitaji kiwanja na sasa Sabasaba hii hatukupi kiwanja peke ake bali tunakupa na kiwanja iliyosheheni ofa kibao
✓Nunua kiwanja BAGAMOYO chenye ukubwa wa SQM 2000, ujipatie Pikipiki mpya bure, pia kuna punguzo la 10% na Hati bure .
✓Nunua kiwanja KIGAMBONI na MLANDIZI tukupe punguzo la 10% na Hati Bure.

Ofa hii ni kwa ajili ya Sabasaba pekee wahi viwanja vimebaki vichache

Fahamu zaidi kuhusu ofa zetu kwa kufika Sabasaba Banda la Manyara no 3.

au piga 0765 311 611
Ofisi zetu zinapatikana Dabe House 3rd Floor, Mwananyamala Sokoni Road.
Afisa kuna viwanja viko mlandizi ..nipe more info I'm interested
 
Hivi viwanja wananunua kwa wananchi kama mashamba wanapima halafu wanakuja kuuza kwa bei ya juu.

Hapa bora uende maeneo husika utapata mashamba makubwa kwa hela ndogo tu..kuliko hivi vi 20x20msq kwa bei juu hata kufuga kuku huwezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi viwanja wananunua kwa wananchi kama mashamba wanapima halafu wanakuja kuuza kwa bei ya juu.

Hapa bora uende maeneo husika utapata mashamba makubwa kwa hela ndogo tu..kuliko hivi vi 20x20msq kwa bei juu hata kufuga kuku huwezi.

#MaendeleoHayanaChama

Na ndio biashara ya viwanja ilivyochachamaa sahivi. Napendekeza viwanja vingekua vinauzwa na halmashauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom