snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,164
Unafungua JamiiForums na unaona imepigwa DDos hujui kinachofanyika.
Unapost kwenye group WhatsApp nako hujui inakuwaje mpaka watu wanaiona post yako.
Unarudi unapiga screenshot unapost instagram hujui nini kinachofanyika mpaka post yako inaionekana.
Unaingia twitter unafollow JamiiForums page hujui kinachofanyika mpaka unaweza kuwafollow.
Premiumship member inaexpire unachukuwa simu yako unawarushia warenew kwa M-Pesa nayo hujui inafanyaje kazi.
Unaingia jukwaa ka Tech unataka kulike hii post huoni option unaenda kulalamika Complains & Congrats kule chini wakati hujui nini kinafanyika.
Dunia inaenda upo upo tu, we ni mtu wakupost nakucomment.
We ni mtu wakuangalia tu movies bila kujua what is going on beyond the core of your Lap.
Kujua coding humfanya mtu aweze kufikiri kwa njia nyingine mbalimbali, Tofauti kabisa na mtu asiyejua chochote kuhusu coding, its doesn't makes you smart but it makes you strong.
Kupitia coding mtu anauwezo wakufanya kitu akatambulika na dunia n get pay in return, kuliko yule mwenye selfie addiction poster n comment(er).
Dunia ya sasa inapokwenda binadamu ataanza kufikiria kama computer.
Mtoto akiwa yupo yupo tu haelewi how things goes on anakuwa mzembe hawezi kufikiria, kwamba hapa kwenye hili game mbona kuna hiki na hiki, aliyetengeneza atakuwa kafanya hiki., sasa mtoto akiwa anacheza cheza tu magem nakujisifia kwa wenzie haimfanyi awe stronger.