zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 257
Wengi wetu wameshakumbana na maumivu makali na wana madonda nafsini mwao pamoja na majeraha yaliyosabishwa na mapenzi. Haya yote hutokea baada ya wewe kutendwa. Umeshawahi kujiuliza kwanini hutokea hayo?
1.Kuruhusu akili/ubongo wako utawaliwe na Huyo mpenzi wako.
Sikatai najua kuna kupenda na hutokea automatic, lakini unapokuwa katika mapenzi ni kosa kubwa sana kuruhusu ubongo wako kutawaliwa na mpenzi wako.
Mwisho wa siku unajikuta ukimuwaza yeye kwa sehemu kubwa na kumuona yeye ni kila kitu kwako. Wengine huwaona wapenzi wao ndio miungu yao hapa duniani. Hili ni kosa kubwa sana kumbuka yule ni mwanadamu mwenzako mwenye akili na mawazo ya kibinadamu. Muda wote anawaza akawaza vingine juu yako.
2.Kumuamini kulikopitiliza
Usimwamini mtu kwa asilimia mia kwani huwezi kuona au kufahamu akiwazacho.
3.Kutokujiandaa psychologically
Unapokuwa na mpenzi lazima uiandae saikolojia yako pia kwa kuwa inaweza kutokea mkaachana na mkiachana ni jambo la kawaida. Hivyo ikitokea haitokuumiza sana.
Ukiweza kuufundusha ubongo wako juu ya haya basi mapenzi hayatakutatiza sana. Zaidi na zaidi jifunze kumtegemea Muumba wako zaidi ya vyote.
1.Kuruhusu akili/ubongo wako utawaliwe na Huyo mpenzi wako.
Sikatai najua kuna kupenda na hutokea automatic, lakini unapokuwa katika mapenzi ni kosa kubwa sana kuruhusu ubongo wako kutawaliwa na mpenzi wako.
Mwisho wa siku unajikuta ukimuwaza yeye kwa sehemu kubwa na kumuona yeye ni kila kitu kwako. Wengine huwaona wapenzi wao ndio miungu yao hapa duniani. Hili ni kosa kubwa sana kumbuka yule ni mwanadamu mwenzako mwenye akili na mawazo ya kibinadamu. Muda wote anawaza akawaza vingine juu yako.
2.Kumuamini kulikopitiliza
Usimwamini mtu kwa asilimia mia kwani huwezi kuona au kufahamu akiwazacho.
3.Kutokujiandaa psychologically
Unapokuwa na mpenzi lazima uiandae saikolojia yako pia kwa kuwa inaweza kutokea mkaachana na mkiachana ni jambo la kawaida. Hivyo ikitokea haitokuumiza sana.
Ukiweza kuufundusha ubongo wako juu ya haya basi mapenzi hayatakutatiza sana. Zaidi na zaidi jifunze kumtegemea Muumba wako zaidi ya vyote.