Sababu za wapinzani kurudi CCM

Sababu za wapinzani kurudi CCM

Inakuaje wabunge na madiwani wa vt mahalum hawahami na kusapot utendaji kaz wa magu?kuna nini hapa
 
Hivi kwa nini wanaorudi ni wanaume tuuu!wengi waoo!

Wanaume usaliti sio kwa wanawake tu jamani mpk vyamaaa!yaani hii jinsia haijawahi kuwa serious kwenye mahusiano yoyote Yale ya kimwili mpk kisiasa!
 
Je mkulima wa korosho pale Tandahimba anafaidika vipi na kiongozi wa upinzani kurudi chama tawala?
 
Inakuaje wabunge na madiwani wa vt mahalum hawahami ili kusapot utendaji wa Magu?kuna nini hapa
 
Back
Top Bottom