Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
nimezipata kwamba kijana alipima upepo akajua mwaka huu hawezi tena kuukwaa uenyekiti wa uvccm mkoa wa arusha ndo maana akasepa ili kuepuka fedheha
nimezipata kwamba kijana alipima upepo akajua mwaka huu hawezi tena kuukwaa uenyekiti wa uvccm mkoa wa arusha ndo maana akasepa ili kuepuka fedheha
Alifanya uamuzi ulio sahihi, irrespective of any thing...
huyo mjanja,anaeona shimo akaruka.nyie mnadumbukia tu pamoja na kuvaa miwani ya macho.
mnabakia kutapatapa tu..unalo