MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
- Thread starter
-
- #21
Una maanisha chama mbadala kwenye uchaguzi?
what is your point, najaribu kuelewa lakini bado sijakupata/
I have commented on every point you gave (hivyo ndivyo ulivyotaka uliposema watu hawajibu hoja); I expected your response on every comment, not just on the conclusion, otherwise hutakuwa tofauti na hao uliosema hawajajibu hoja zako!Kuomba ridhaa ya kuongoza nchi ni kama kuomba kazi. To get the best employee you must scrutinize and look into a person's record.
Hivi unataka tufuate mfano wa Kenya? Afadhali hata ungesema Zambia na Malawi. Of all places Kenya?!! Have you lost your mind? Kwa hiyo unataka Wasukuma Wanyamwezi na Wahaya waseme sasa zamu yetu? Na kisha hapo tuchinjane (japo mpaka sasa hivi tunachinajana) Haya sawa wameiondoa KANU je kunatawalika huko Kenya?
Yes kuna mfumo huo. Kulikuwa na mfumo unaopendelea chama tawala Kenya mpaka juzi kati tu ila wenzetu waliweza kuovercome. Kama tatizo lia julikana upinzani unafanya nini kupambana na hili? Kama Kenya waliweza sisi tushindwe nini? CCM ni tajiri maybe because muda mrefu wao walikua chama pekee, lakini ni sisi tuliotaka upinzani tukijua yote haya. Tuta lia lia mpaka lini? What are we doing about it?
Hivi unataka tufuate mfano wa Kenya? Afadhali hata ungesema Zambia na Malawi. Of all places Kenya?!! Have you lost your mind? Kwa hiyo unataka Wasukuma Wanyamwezi na Wahaya waseme sasa zamu yetu? Na kisha hapo tuchinjane (japo mpaka sasa hivi tunachinajana) Haya sawa wameiondoa KANU je kunatawalika huko Kenya?
I have commented on every point you gave (hivyo ndivyo ulivyotaka uliposema watu hawajibu hoja); I expected your response on every comment, not just on the conclusion, otherwise hutakuwa tofauti na hao uliosema hawajajibu hoja zako!
Kuna sababu nyingi naona ni heri serikali ya chama cha mapinduzi kuliko serikali ya chama chochote cha upinzani tulionao. Hii ni kwa sababu hata kama CCM kime tupa baadhi ya sababu ya kuto kichagua bado naamini upinzani haujatupa sababu ya kuwa chagua na hilo ndilo la muhimu kuliko yote.
1.Upinzani mara nyingi umebaki kusema nini CCM haijafanya badala ya kukazania kutuambia nini wao wata fanya tofauti. Ni vigumu sana kuwa sikia wapinzani pale kunapo kuwa hamna maneno dhidi ya upinzani. Upinzani wetu upo REACTIVE badala ya kuwa PROACTIVE!
2.Vyama vyetu vya upinzani ni vyama vya uchaguzi tu. Ni vyama vichache na mara chache sana vinavyo jinadi kabla ya uchaguzi.
3.Wengi wa wapinzani walio kuwaga CCM na serikalini hawana track record nzuri na wengi wao inaelekea siyo wapinzani wa kweli bali wali hama kambi baada ya kuona hawana masilahi CCM.
4.Japo vyama vya upinzani havipo madarakni lakini bado kuna baadhi ya vitu wangeweza kufanya kusukuma gurudumu la maendeleo nchini. Sija sikia chama chochote cha upinzani kikiwa na program zozote za kijamii. Sijawahi(I could be wrong) kusikia chama chochote cha upinzani kikichangia aidha hali au mali wakati maafa yanapo tokea. Kumbuka kutoa ni moyo si utajiri.
5.Hata upinzani kuna baadhi ya watu ni mafisadi. Tumesikia wengine ambao wame pata utajiri wao kwa biashara zisizo halali au hata kuiba fedha za vyama vyao. Je hawa wakipewa serikali hawata endeleza ufisadi huo huo tena katika njia kubwa zaidi?
Baada ya kutafakari kwa muda mimi naona bado CCM ni chama "bora" kuliko chochote cha upinzani. Naamini kabisa kwamba bila baadhi ya watu wanao ichafua CCM bado kingekua chama imara. Nadhani baada ya enzi za Nyerere kuisha kule kupokezana kwa madaraka kulienda kwa kundi bovu badala ya kundi imara na kundi hilo ndiyo lime set precedent ya mambo yote yanayo tokea sasa. Bado sijaona upinzani wa kweli Tanzania. Ni mtazamo wangu tu.
Hapa hakuna jipya Mwanafals ni kibaraka cha mafisadi tumekushutukia sababu zako hazina msingi wowote
Nani, CHADEMA ??? Hawana chochote, chama cha mtu na mkwewe !!!! Au mnataka tuibue walivyo mkolimba Chacha Wangwe kwa kuwa alikuwa anakwenda Dar kutoboa siri zao za ufisadi. Achana na hawa Mafia. Mtajuta baada ya miezi saba tu. Amini ninayowaambia. Mkitaka zaidi nipo kilingeni.
Siangalii shilingi kwa upande mmoja bali natoa hoja ya upande mmoja na mwenzangu kama wewe akitoa upande mwingine wote hunufaika na kuelimika.
Chama ni watu. Jaribu fikiria perfomance ya Dr slaa kama angekuwa CCM.Jiulize Sitta Angekuwa spika kutokana na upinzani ingekuwaje.Kuna wabunge wengi wako CCM lakini chama kinakwaza Perfomence yao.Sikusema maneno yangu ni sheria ndiyo maana nikasema ni maoni yangu. Kuhusu BOT,EPA, RADAR my friend hizo zime fumuliwa zote na chama kimoja i.e. Chadema na nyingi ni za mtu mmoja aitwae Dr. Slaa. Sijaona much evdence kwamba hizo kashafa zilikua juhudi za chama bado naona ni juhudi za mtu mmoja. Mtu mmoja bado hanipi sababu za kukichagua chama kizima.
Ok.....CCM ni reactive kwa nani? Maana mimi nimesema upinzani ni reactive to CCM je CCM ni reactive to who? Huja explain bado.
Yes kuna mfumo huo. Kulikuwa na mfumo unaopendelea chama tawala Kenya mpaka juzi kati tu ila wenzetu waliweza kuovercome. Kama tatizo lia julikana upinzani unafanya nini kupambana na hili? Kama Kenya waliweza sisi tushindwe nini? CCM ni tajiri maybe because muda mrefu wao walikua chama pekee, lakini ni sisi tuliotaka upinzani tukijua yote haya. Tuta lia lia mpaka lini? What are we doing about it?
Mkuu mwizi ni mwizi tu. Ina maana una endorse "mwizi" ampokee "mwizi" mwingine? Na mwizi huiba kutokana na kilichopo karibu yake. Uta nihakikishiaje mpinzani mwizi akiingia given the chance nae hata iba kama wezi wa CCM wa sasa? Na je mimi niamini vipi mtu ambae ana weza kuiba kidogo hata iba kingi akipata nafasi?
Sijasema ni chama bora bali ndiyo chama nafuu kati ya tulivyo navyo. Na kama Chadema ikishindwa kumuadhibu mtu hicho ndicho unadhani kinafaa kuongoza serikali? Ukubwa wa umri si sababu. Kumbuka utu uzima siyo umri bali upeo na busara.
Mbunge mbovu ni mbunge mbovu haijalishi anatoka CCM au upinzani. Mbunge mbovu haongezi value yoyote wala efficiency bali nae ni strain katika economy kama mbnge mbovu wa CCM.
Nashukuru mkuu kwa maoni yako na walau wewe ume jaribu kutoa hoja kliko wengine walio kuwa wakipinga tu bila msingi wowote. Natumai huu mbadilishano wa mawazo utaendelea.
Hoja zipi mkuu? Are you joking? You said "Tusihukumu upinzani mpaka uipe nafasi" then I replied o you tha kuomba ridhaaya kuongoza ni kama kuomba kazi sasa hoja ipi nyingine unaaka ujibiwe? I replied according to wha I quoed...go & look back.
Soma tovuti ya Chadema kwa kusudi la kujua maadhimio yao...
usitegemee wapinzani wote watakuwa kama dr slaa au mtikila au Rashid Muhamad.Katika jimbo bora tuchague avarage opposition MP kuliko the so called Best perfoming CCM MP. kuwa CCM kunawa-neutralise hawa wanaoonekana kuwa ni wabunge bora kuliko wale waupinzani.
Kuongeza idadi ya wapinzani hata wanaolala bungeni ita add value kuelekea mabailiko ya kweli.
Kuanza kuwatafuta wapinzani kwa kuwalinganisha na Dr slaa, au M, Rashid sio sahihi.
Na mimi naomba mheshimiwa, kuongeza yafuatayo:
1. Kama Upinzani unavyokosa umoja nje ya serikali hivi sasa ukiingia serikalini utakuwa pia hauna umoja kama vile tunavyoona huko Kenya na Zimbabwe;
2. Hawa ni watu wenye njaa kali na hivyo tutegemee ufisadi mkubwa zaidi kuliko uliwahi kutokea huko nyuma;
3. Baadhi ya viongozi wa upinzani wanaonesha picha za ngono kwenye migahawa au klabu zao na hivyo kuonesha ni wapi watakapowapeleka wasichana na wavulana wetu wakishika madaraka;
4. Karibu kila kiongozi wa upinzani ananunulika kwa bei fulani, hili linaonesha pia wakiwa viongozi wa umma bado wataendelea kununuliwa na hasa wale wenye pesa ndani na nje ya nchi;
5. Karibu viongozi wote wa upinzani hawajui kusoma, kutafakari na kuandika taarifa na hoja mbalimbali za msingi, kwa hiyo wakija madarakani tutakuwa na uongozi wa wajinga;
6. Viongozi wa upinzani isipokuwa kwa Ndesamburo kule Moshi, Kilimanjaro hakuna aliyewahi kuanzisha mradi binafsi au wa kikundi wa maana hapa nchini kwa hiyo wakiingia madarakani wachache sana watakuwa na akili ya ujasiriamali, uwekezaji na uendelezaji watu kutokana na rasilimali walizonazo;
7. Kama walivyo viongozi waliopo madarakani viongozi wa upinzani wanoona pia bughudha au usumbufu kukutana na watu wa hali ya chini na masikini kwa ujumla ili kusikiliza matatizo yao na hivyo hawajui shida na matamanio na matarajio ya wale wanaotaka kuwaongoza kama walivyo wenzao leo kwa hiyo hapa hapatakuwa na mabadiliko yoyote. Utatoka uongozi unaojali maslahi yake yenyewe kwanza, ukaingia uongozi ambao pia unajali maslahi yake kwanza na siyo yale ya wale waliowatuma;
8. Hakuna mwanasiasa wa upinzani hata mmoja, ukimuondoa Maalim Seif, ambaye anakubali kukaa kijijini kwao kwa mwezi mmoja au zaidi, wote wako mjini kwa hiyo wakija madarakani nao pia wataendeleza miji na sio vijiji;
9. Hakuna Chama Chochote cha Upinzani kilichokubali kufanya makao yake makuu kuwa Ddoma kikiwemo hicho kipya cha CCJ. Kwa hiyo kama yalivyo mambo mengi mengine vyama hivi ni vya wajanja wachache wa mjini Dar es salaam kutaka kuila nchi toka jiji la maraha;
10. Hakuna chama chochote isipokuwa CHADEMA kilichozungumzia kuipa mikoa haki na uhuru wa kujitawala yenyewe kiuchumi na kijamii kwa maendeleo ya haraka ya mikoa husika. Hii ina maana serikali ya upinzani nayo itataka na itakubali ukiritimba wa kuitawala nchi hata kama haipelekwi mbele kutokea Dar es Salaam.
Nimezungumza, wengine nao wazungumze- Mwalimu Jr.