Wanakuwaje wapo halafu hawaonekani?? mfano labda umepanda bus alafu jirani yako kwenye seat akakuambia unajua hapa nimekaa juu ya boda boda, wewe ukitizama huoni hiyo boda boda unaona seat ya kawaida, hapo huwezi ukaona huyo jirani yako labda anaweza kuwa na dalili za ukichaa??