Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 25
Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogopa kugoma kwn ikatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.