Sababu ya Saido Ntibazonkiza kubaki dirisha hili

franckkimm

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
440
852
Wakuu,

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa kila mtu anaona, hakuna mambo ya kuongopeana kabisa.

Pili, kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji hususani inside ten (10) wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo kwa ufasaha (angalau 55%) Ni wawili tu CHAMA na SAIDO. Kama kuna mwingine rudia iyo paragraph ya juu halafu uje na facts tu na mimi nijifunze.

Hili ni dirisha dogo, lenye maana ya kurekebisha sehemu ndogo ndogo zenye mapungufu, timu yoyote kubwa duniani iliyokamilika haisajili kabisa kwenye dirisha hili.

Ila pia ikitokea wakasajili ni maeneo machache tu ambayo yana mapungufu madogo madogo husasani ni kusajili mchezaji mbadala wa anayepata majeraha ya mara kwa mara.

Kwa Simba sishangai sanaa kwa dirisha hili dogo, ni ngumu sana kupata mchezaji mwenye profile kubwa sababu wengi bado wapo kwenye mkataba mpaka mwisho wa msimu, na wengine ata mkivunja mkataba Bado wengi washacheza CAFCL hivyo bado ni changamoto tu.

Nieleweke, siku upande wowote ila najaribu kuongelea uhalisia yu wa kimpira ambao kote duniani ndio ulivyo.

Yaani kifupi ukikosea dirisha kubwa la usajili usitegemee dirisha dogo, mimi sio kiongozi wa mpira ila viongozi wa mpira wanalijua Hili kwa ufasaha.

Niulize tu, Baleke ni kweli alikuwa kwa mkopo Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sababu yoyote ya msingi ya kumbakisha Sadoo hata kama kocha alikuwa anamtaka bado viongozi wangeweza tu kumtengenezea figisu kwenye vipengele vya mkataba halafu wakamtema. Saidoo wa mwaka jana na wa mwaka huu ni mbingu na ardhi. Kwa kiwango alichonacho Saidoo sasa hivi unaweza kupata mchezaji wa ndani anayelingana na naye au hata kumzidi ukaokoa pesa ndefu anayolipwa na bado ikapatikana nafasi ya mchezaji mmoja wa kimataifa. Na mbaya zadi umri umeshamtupa mkono akili inataka lakini mwili hauwezi kufanya kile akili yake inataka.

Kwenye suala la Saidoo ndio utajua kuwa pale Simba viongozi wenye maamuzi hawaujui mpira vizuri na wachache waliopo wanaojua mpira kiundani kama wakina Magori, Kaduguda na wengineo nahisi wameamua kuangalia mambo yanavyoendeshwa. Kama Hanspope (RIP) angekuwa hai huyo Saidoo saa hizi angekuwa ameshapewa thank you baada tu ya kombe la Mapinduzi kwisha na kama angebisha rungu lingemhusu..

Chama pamoja na kasi yake ndogo kama konokono, utovu wa nidhamu, umri kuanza kumtupa mkono, n.k. lakini bado ataisadia Simba sana tu mpaka msimu uishe. Kwa Chama yeye kutoa assist wenzake wafunge anafurahi sana lakini Saidoo anataka afunge mwenyewe hapo ndio tofauti zinapoanzia. Nina hakika iwapo Chama angekuwa anachezeshwa nyuma ya mshambuliaji wa kati badala ya Saidoo kwenye mechi nyingi msimu huu basi walau Simba isingedondosha pointi kwenye baadhi ya mechi ilizofanya vibaya. Muda mwingi wa mchezo Saidoo anaikaba timu na hatengenezi pasi za mwisho kwa washambuliaji halafu viongozi hawajui kwanini timu haifungi magoli ya kutengenezwa badala yake timu imeshia kufunga magoli papatupapatu na penati.

Usipoangalia mpira kiufundi unaweza kudhani Saidoo anaisadia timu kwa sababu anakimbia uwanja mzima na anatoka jasho jingi kuliko wachezaji wote wa Simba uwanjani na hili ndio huwa linawadanganya benchi la ufundi na viongozi lakini kiukweli mipira 10 inayofika kwake 8 inafia miguuni kwake achilia mbali kuanguka anguka wakati mwingine hata hajaguswa na mchezaji wa timu pinzani. Kwa kifupi ni mchezaji hewa. Na kwa kuwa viongozi wanampenda kwa sababu anajua lugha nyingi basi viongozi wangemuajiri tu kama mkalimani wa timu basi ingetosha kuliko ilivyo sasa anavyoikaba timu uwanjani.

Ni mtizamo tu.
 
Wakuu,

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa kila mtu anaona, hakuna mambo ya kuongopeana kabisa.

Pili, kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji hususani inside ten (10) wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo kwa ufasaha (angalau 55%) Ni wawili tu CHAMA na SAIDO. Kama kuna mwingine rudia iyo paragraph ya juu halafu uje na facts tu na mimi nijifunze.

Hili ni dirisha dogo, lenye maana ya kurekebisha sehemu ndogo ndogo zenye mapungufu, timu yoyote kubwa duniani iliyokamilika haisajili kabisa kwenye dirisha hili.

Ila pia ikitokea wakasajili ni maeneo machache tu ambayo yana mapungufu madogo madogo husasani ni kusajili mchezaji mbadala wa anayepata majeraha ya mara kwa mara.

Kwa Simba sishangai sanaa kwa dirisha hili dogo, ni ngumu sana kupata mchezaji mwenye profile kubwa sababu wengi bado wapo kwenye mkataba mpaka mwisho wa msimu, na wengine ata mkivunja mkataba Bado wengi washacheza CAFCL hivyo bado ni changamoto tu.

Nieleweke, siku upande wowote ila najaribu kuongelea uhalisia yu wa kimpira ambao kote duniani ndio ulivyo.

Yaani kifupi ukikosea dirisha kubwa la usajili usitegemee dirisha dogo, mimi sio kiongozi wa mpira ila viongozi wa mpira wanalijua Hili kwa ufasaha.

Niulize tu, Baleke ni kweli alikuwa kwa mkopo Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio alikuwa kwa mkopo ndio maana,tp mazembe wamemchukua
 
Hakuna sababu yoyote ya msingi ya kumbakisha Sadoo hata kama kocha alikuwa anamtaka bado viongozi wangeweza tu kumtengenezea figisu kwenye vipengele vya mkataba halafu wakamtema. Saidoo wa mwaka jana na wa mwaka huu ni mbingu na ardhi. Kwa kiwango alichonacho Saidoo sasa hivi unaweza kupata mchezaji wa ndani anayelingana na naye au hata kumzidi ukaokoa pesa ndefu anayolipwa na bado ikapatikana nafasi ya mchezaji mmoja wa kimataifa. Na mbaya zadi umri umeshamtupa mkono akili inataka lakini mwili hauwezi kufanya kile akili yake inataka.

Kwenye suala la Saidoo ndio utajua kuwa pale Simba viongozi wenye maamuzi hawaujui mpira vizuri na wachache waliopo wanaojua mpira kiundani kama wakina Magori, Kaduguda na wengineo nahisi wameamua kuangalia mambo yanavyoendeshwa. Kama Hanspope (RIP) angekuwa hai huyo Saidoo saa hizi angekuwa ameshapewa thank you baada tu ya kombe la Mapinduzi kwisha na kama angebisha rungu lingemhusu..

Chama pamoja na kasi yake ndogo kama konokono, utovu wa nidhamu, umri kuanza kumtupa mkono, n.k. lakini bado ataisadia Simba sana tu mpaka msimu uishe. Kwa Chama yeye kutoa assist wenzake wafunge anafurahi sana lakini Saidoo anataka afunge mwenyewe hapo ndio tofauti zinapoanzia. Nina hakika iwapo Chama angekuwa anachezeshwa nyuma ya mshambuliaji wa kati badala ya Saidoo kwenye mechi nyingi msimu huu basi walau Simba isingedondosha pointi kwenye baadhi ya mechi ilizofanya vibaya. Muda mwingi wa mchezo Saidoo anaikaba timu na hatengenezi pasi za mwisho kwa washambuliaji halafu viongozi hawajui kwanini timu haifungi magoli ya kutengenezwa badala yake timu imeshia kufunga magoli papatupapatu na penati.

Usipoangalia mpira kiufundi unaweza kudhani Saidoo anaisadia timu kwa sababu anakimbia uwanja mzima na anatoka jasho jingi kuliko wachezaji wote wa Simba uwanjani na hili ndio huwa linawadanganya benchi la ufundi na viongozi lakini kiukweli mipira 10 inayofika kwake 8 inafia miguuni kwake achilia mbali kuanguka anguka wakati mwingine hata hajaguswa na mchezaji wa timu pinzani. Kwa kifupi ni mchezaji hewa. Na kwa kuwa viongozi wanampenda kwa sababu anajua lugha nyingi basi viongozi wangemuajiri tu kama mkalimani wa timu basi ingetosha kuliko ilivyo sasa anavyoikaba timu uwanjani.

Ni mtizamo tu.
Unahisi wewe unajua boli zaidi ya Robertinho na Benchikha ambao hawajaona mchezaji wa kumReplace Saido kwenye current squad?

Saido aachwe bhana hana mbadala kwenye hiki kikosi tusubirie usajili Kiangazi

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
 
Unahisi wewe unajua boli zaidi ya Robertinho na Benchikha ambao hawajaona mchezaji wa kumReplace Saido kwenye current squad?

Saido aachwe bhana hana mbadala kwenye hiki kikosi tusubirie usajili Kiangazi
Hao makocha wasikuchanganye kabisa nao ni binadamu na wakati mwingine wanakuwa na mapenzi binafsi na mtu au watu kama walivyo binadamu wengine.

Kama Baleke na Phiri wamepata watu wa kuwareplace tene toka Ulaya mashariki vipi huyo Saidoo ana kitu gani spesho asipate mbadala mwenye tija kwenye timu? Yaani Tanzania yote hii, Afrika nzima hakuna mchezaji wa kumreplace?

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa na kila kitu kinaonekana kama mchezaji ana mchango unaonekana na kama hana mchango pia anaonekana. Kitendo cha viongozi hata kujadiliana nae kuhusu mkataba wa mwaka mmoja mchezaji anayetakiwa kutupiwa virago moja kwa moja inaonyesha uwezo wa hao viongozi.
 
Hao makocha wasikuchanganye kabisa nao ni binadamu na wakati mwingine wanakuwa na mapenzi binafsi na mtu au watu kama walivyo binadamu wengine.

Kama Baleke na Phiri wamepata watu wa kuwareplace tene toka Ulaya mashariki vipi huyo Saidoo ana kitu gani spesho asipate mbadala mwenye tija kwenye timu? Yaani Tanzania yote hii, Afrika nzima hakuna mchezaji wa kumreplace?

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa na kila kitu kinaonekana kama mchezaji ana mchango unaonekana na kama hana mchango pia anaonekana. Kitendo cha viongozi hata kujadiliana nae kuhusu mkataba wa mwaka mmoja mchezji anayetakiwa kutupiwa virago moja kwa moja inaonyesha uwezo wa hao viongozi.
Labda kuna swala la 10% kwa kiongozi mmoja mkubwa hatuwezi jua.😊
 
Hao makocha wasikuchanganye kabisa nao ni binadamu na wakati mwingine wanakuwa na mapenzi binafsi na mtu au watu kama walivyo binadamu wengine.

Kama Baleke na Phiri wamepata watu wa kuwareplace tene toka Ulaya mashariki vipi huyo Saidoo ana kitu gani spesho asipate mbadala mwenye tija kwenye timu? Yaani Tanzania yote hii, Afrika nzima hakuna mchezaji wa kumreplace?

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa na kila kitu kinaonekana kama mchezaji ana mchango unaonekana na kama hana mchango pia anaonekana. Kitendo cha viongozi hata kujadiliana nae kuhusu mkataba wa mwaka mmoja mchezji anayetakiwa kutupiwa virago moja kwa moja inaonyesha uwezo wa hao viongozi.
Sawa mkuu wangu, ngoja tusubirie hii Round ya pili tuone Takwimu zitakuaje

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Mpira ni mchezo wa wazi kabisa kila mtu anaona, hakuna mambo ya kuongopeana kabisa.

Pili, kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji hususani inside ten (10) wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo kwa ufasaha (angalau 55%) Ni wawili tu CHAMA na SAIDO. Kama kuna mwingine rudia iyo paragraph ya juu halafu uje na facts tu na mimi nijifunze.

Hili ni dirisha dogo, lenye maana ya kurekebisha sehemu ndogo ndogo zenye mapungufu, timu yoyote kubwa duniani iliyokamilika haisajili kabisa kwenye dirisha hili.

Ila pia ikitokea wakasajili ni maeneo machache tu ambayo yana mapungufu madogo madogo husasani ni kusajili mchezaji mbadala wa anayepata majeraha ya mara kwa mara.

Kwa Simba sishangai sanaa kwa dirisha hili dogo, ni ngumu sana kupata mchezaji mwenye profile kubwa sababu wengi bado wapo kwenye mkataba mpaka mwisho wa msimu, na wengine ata mkivunja mkataba Bado wengi washacheza CAFCL hivyo bado ni changamoto tu.

Nieleweke, siku upande wowote ila najaribu kuongelea uhalisia yu wa kimpira ambao kote duniani ndio ulivyo.

Yaani kifupi ukikosea dirisha kubwa la usajili usitegemee dirisha dogo, mimi sio kiongozi wa mpira ila viongozi wa mpira wanalijua Hili kwa ufasaha.

Niulize tu, Baleke ni kweli alikuwa kwa mkopo Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20240118_205219_Chrome.jpg


Screenshot_20240118_205224_Chrome.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom