i dont see any logic. labda kama mnaabudu samnamu. bendera ni kitambaa tu. definition zingine zote ni za kisheria na taratibu tu zinazoweza kubadilika wakati wowote. asa long as ni kitambaa, hakuna anayeweza kupata laana hata akichambia kila siku, sembuse kukanyaga????????????
you need to change your way of thinking........................